BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
AmenThanks mama Pastor, Bwana wa majeshi azidi kukutumia kuwagusa wengi.

AmenThanks mama Pastor, Bwana wa majeshi azidi kukutumia kuwagusa wengi.

Bado yuko safarini au ameonekana?namtakia wakati mwema,Mungu ambarikiCc shimba ya buyenze

Mifumo mingi ya hali ya hewa na kimaumbile imeingiliana sana. Pepo zinazovuma Afrika Magharibi ndizo mwishowe hupata nguvu na kuwa vimbunga vikali vinavyowatesa Wamarekani kila mwaka. Maji yenye joto kutoka Ikweta yanachochea mvua na majira ya joto Ulaya. Vumbi kutoka jangwa la Sahara ndiyo chanzo cha mvua katika sehemu mbalimbali duniani. Air pollution inafanyika huko kwa wenzetu sisi huku Afrika ndiyo tutateseka zaidi na mvua za kupindukia kimo na ukame wa muda mrefu...Mifano ni mingi lakini ecosystem yetu ni changamano mno kwa sababu kila kitu kinategemea kingine.
Hapana. Wanaogopa vijana wao kuwa corrupted na western values; na kuachana na dini yao. Media ndiyo njia kuu ya kueneza mawazo na ajenda za Kimagharibi. Ni sawa na sasa ambapo ushoga na usagaji unaenezwa kwa nguvu zote. Sema tu Wataliban wao walikwenda mbali zaidi na mbinu zao wali/nazotumia si za kibinadamu. The little fat boy wa North Korea yeye anatumia mbinu tofauti na anafanikiwa tu...Sikujua,ukiwa mnyanyasaji unaweza hata mvua mtu nguo hapo hawakutaka watu wawe informed
Asante Mtumishi. Mikutano ilikuwa imenibana. Tunamaliza kesho na nitakuwa hapa nanyi bega kwa bega. Thanks for caring. You are indeed a woman of God!Bado yuko safarini au ameonekana?namtakia wakati mwema,Mungu ambariki![]()
Aisee, suzonje aliomba engineers kutoka huko wa hydro power8/Ethiopia
![]()
Nchi hii ya Haile Sellasie ina mambo ya kushangaza yaani inajali zaidi kujenga barabara,treni za umeme ,kununua ndege n.k kuliko kuwapa elimu wananchi wake usishangae ndio maana kila siku wanafia kwenye malori wakitoroka nchi
Inakadiriwa kuwa na watu karibia milioni 100
Ni 40% pekee walioelimika
Yaani 60% wapo wapo tu wao na maandishi hawapatani
.......
Kitu kimoja nawapendea hawa watu. Hawapendi na hawataki kutawaliwa kabisa. Wewe njoo na madege yako, Abrams tanks na silaha za kila aina. Wenyewe utawakuta na ngamia zao na AK 47 hawana shida. Mrusi alijaribu kwa miaka 10 mwishowe akasarenda na kukimbia. Mmarekani naye huu sijui mwaka wa ngapi anahangaika. Hawaogopi kufa; na hakuna silaha inayoweza kumshinda mtu asiyeogopa kifo!4/AfghanistanHii ndo nchi pekee ambayo siyo ya Kiafrika iliyopo 10 bora ta mambumbumbu![]()
Inakadiriwa kuwa na idadi ya watu milioni 32 huku 7% wakiishi maeneo ya vijijini
64% hawajui kusoma na kuandika ila wanajua kuswali balaa
.......
Ebolla huko ilitamba sana, na hawa jamaa nchi ambazo hawajaelimika ndio sehemu yao ya kufanya majaribio ya chanjo zao na kutengeneza magonjwa6/Burkina Faso![]()
Inapatikana huko Afrika Ya Magharibi
Ina idadi ya watu milioni 17
62% hawajui kusoma na kuandika
........
Nafikiri bado yupo safariniBado yuko safarini au ameonekana?namtakia wakati mwema,Mungu ambariki![]()
Aisee, tora bora4/AfghanistanHii ndo nchi pekee ambayo siyo ya Kiafrika iliyopo 10 bora ta mambumbumbu![]()
Inakadiriwa kuwa na idadi ya watu milioni 32 huku 7% wakiishi maeneo ya vijijini
64% hawajui kusoma na kuandika ila wanajua kuswali balaa
.......
MASHIKOLOMAGENI...MASHOKOLOMAGENI ni neno tofauti kabisa. Wabeja mayu!![]()
![]()
MASHOKOLOMAGENI,THIS IS BREAKING NEWS TO ME
![]()
Huko miaka ya 1990 walikuwa na vita ya kukatana viungo, mikono, miguu, masikio na pua, ukienda huko usishangae kuwakuta watu wa aina hiyo3/Sierra Leone![]()
Unataka almasi za damu? Zipo huko
Nchi Hii ina idadi ya watu milioni 7 ukiwa imeathiriwa vibaya na vita vya wenyewe kwa wenyewe
65% hawajui kusoma wala kuandika
....
4/AfghanistanHii ndo nchi pekee ambayo siyo ya Kiafrika iliyopo 10 bora ta mambumbumbu![]()
Inakadiriwa kuwa na idadi ya watu milioni 32 huku 7% wakiishi maeneo ya vijijini
64% hawajui kusoma na kuandika ila wanajua kuswali balaa
.......

Yeah. Ni wazuri sana katika uwanja huo kwa sababu hawana njia nyingine ya kujipatia umeme.Aisee, suzonje aliomba engineers kutoka huko wa hydro power