Msaka_uchawi
Senior Member
- Feb 16, 2017
- 104
- 214
na mimi nashkuru kama nyote wazima aiseeeKwema tunamshukuru Mungu
na mimi nashkuru kama nyote wazima aiseeeKwema tunamshukuru Mungu
Pamoja sana, tukutane baadae.
Pamoja sanaMkuu Bitoz asante sana kwa picha za historia ubarikiwe
Naona tulishikika sote mkuu
Sikujua,ukiwa mnyanyasaji unaweza hata mvua mtu nguo hapo hawakutaka watu wawe informedDID YOU KNOW?![]()
Na ndo kazaa uzeeni juzijuzi tuHappy Birthday Janet Jackson..Getting old is Growing 51 years now!!Mungu akupe maisha marefu .
AmenPole sana,Mungu akupe uponyaji wa kudumu wamwili na roho![]()
Nyongeza5/Griseldina Acuna![]()
Picha yake halisi sijaipata
Ni binti wa Colombia aliyepata mtoto mwaka 1936 akiwa na umri wa miaka 8 na miezi 2
.......
MITHALI 22
Tunamshukuru Mungu pole na majukumuNatumai mnaendelea vyema humu ndani

Wapumzike kwa amani4/Unidentified Indian Girl
Ni msichana aliyefichwa utambulisho wake huko India
Alifariki wakati alijifungua pamoja na mwanawe
Ilikuwa mwaka 1933
Alikuwa na umri wa miaka 8
......
So hard,I heard this
Duuuh! Daddy katisha
Ahsante mkuu1Lina Medina
![]()
![]()
Ni binti wa Kiperu aliyebahatika kupata mtoto mwaka 1939
Alikuwa na umri wa miaka 5 na miezi 7.
.
.
.
Naona leo kumepoa sana
Tukutane kesho
..........
Are they?
Very true