Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
AmenI choose you
Today is a day of Blessings
God Bless you
God Bless your heart
God Bless your life
God Bless your home
God Bless your work
God Bless your spiritual life
God Bless your finances
God Bless all your projects
God Bless you and your family abundantly
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Shukrani mkuu![]()
Tukutane jioni kwenye 10 kubwa
.......
Good afternoon

MITHALI 22
6.Mlee mtoto katika njia impasayo,naye hataiacha ,hata atakapokuwa mzee.
Hakika ukichukua hatua za makusudi za kufundisha watoto,hutajuta..muelimishe,mfundishe kazi,unapofanya kazi naye ashiriki ,atafahamu wajibu wake,hatakuwa anafanya hivyo vitu kwasababu labda ya miundombinu ,uwezo au kuiga lakini mazingira yakibana hatalala njaa,ataokota kuni,atapika,atasaidia hata wahitaji..tumuombe Mungu kuwasaidia watoto,wadogo zetu ili wawe watu wazima responsible![]()

Ahsante mama mchungajiTunamshukuru Mungu pole na majukumu![]()
AmenI choose you
Today is a day of Blessings
God Bless you
God Bless your heart
God Bless your life
God Bless your home
God Bless your work
God Bless your spiritual life
God Bless your finances
God Bless all your projects
God Bless you and your family abundantly
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
MMUWapi?
I see Long time ago
Amazing grace,unaweza uadhani unapotea tu,Mungu anaweza yote

Hahaha wakati lonely people hapa kwetu hamna anayewafikiria.
