Makapuku Forum

Makapuku Forum

969233a51ca599fb676012831e2b7f2a.jpg
 
MITHALI 22

6.Mlee mtoto katika njia impasayo,naye hataiacha ,hata atakapokuwa mzee.

Hakika ukichukua hatua za makusudi za kufundisha watoto,hutajuta..muelimishe,mfundishe kazi,unapofanya kazi naye ashiriki ,atafahamu wajibu wake,hatakuwa anafanya hivyo vitu kwasababu labda ya miundombinu ,uwezo au kuiga lakini mazingira yakibana hatalala njaa,ataokota kuni,atapika,atasaidia hata wahitaji..tumuombe Mungu kuwasaidia watoto,wadogo zetu ili wawe watu wazima responsible
 
Hahaha wakati lonely people hapa kwetu hamna anayewafikiria.

Ila kuna nchi zinajali sana wanyama,na inapendeza,niliwahi pata mgeni,tukawa tunatembea kijijini tukakuta watoto wamebeba kobe wanashangilia,akawauliza wanini?wakasema wanaenda kumfuga,akawaauliza mnaweza kuuza? Wakajibu ndio wakataja bei kubwa,akalipa akamchukua akanambia nimpeleke mbele zaidi ila kuwe salama ,sikujua anakusudia nini,tukaenda huwezi amini alimuachilia na tulikaa saa nzima ahakikishe hakuna mtu ameona alikoenda,alikua binti wa miaka 23 wakati huo,nilibaki nimejifunza kitu.
Hata kuku alikua hali wala nyama yoyote anasema yeye anawaone huruma ,wakati ss tulikua tunaandaa kuku mgen i ale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom