BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Asante Mkuu Bitoz kazi yako ni njema ,mambo mengi mapya na mazuri sana Mungu akubariki![]()
Tukutane jioni kwenye 10 kubwa
.......

Bora hata kaamua kuzaa maana hawa macelebrity kuzaa wanaona wanachelewa shooNa ndo kazaa uzeeni juzijuzi tu
....
NdiyooooKumbe
Goodafternoon, T wa Sakayo karibuGood afternoon

Asante mkuu, siro naye ametapika sasa hivi, hii nchi aiseeAisee pole sana Mkuu
Asante kwa taarifa mama mchungajiSimu yake inasumbua,anaishughulikia
Asante mama mchungajiUbarikiwe mkuu Shululu karibu
Pole sana clkeyNpo hny, nlkuwa na homa kdgo
Za mchana lakiniNgoja niwahi biashara zangu maana muda ni mali
Karibu tena NyageiNatumai mnaendelea vyema humu ndani
Goodafternoon, T wa Sakayo karibu![]()
Asante kwa je wajua![]()
Tukutane jioni kwenye 10 kubwa
.......
T,mambo vipGood afternoon
Kweli kabisa aiseeMITHALI 22
6.Mlee mtoto katika njia impasayo,naye hataiacha ,hata atakapokuwa mzee.
Hakika ukichukua hatua za makusudi za kufundisha watoto,hutajuta..muelimishe,mfundishe kazi,unapofanya kazi naye ashiriki ,atafahamu wajibu wake,hatakuwa anafanya hivyo vitu kwasababu labda ya miundombinu ,uwezo au kuiga lakini mazingira yakibana hatalala njaa,ataokota kuni,atapika,atasaidia hata wahitaji..tumuombe Mungu kuwasaidia watoto,wadogo zetu ili wawe watu wazima responsible![]()
Cc shimba ya buyenze![]()
![]()
MASHOKOLOMAGENI,THIS IS BREAKING NEWS TO ME
![]()
Ahsante sanaaaPole sana clkey
Ndo nini sasaHongera boss lady kwa
[HASHTAG]#188888[/HASHTAG]
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()