Makapuku Forum

Makapuku Forum

1/Gambia
52e834449169c6427bb9873745502c69.jpg

Hii nchi ina idadi ya watu milioni 2
Inakadiriwa 66% hawajui kusoma na kuandika
.
.
.
Kwa ujumla nchi za Afrika Magharibi ndiyo zimetawala ...tena ndo zinazoongoza kwa mapinduzi ya kijeshi pamoja na viongozi kukaa madarakani muda mrefu bila kusahau vita vya wenyewe kwa wenyewe
Shukrani kwa waliofuatilia mada
Tukutane kesho
Mwisho
............
Asante kwa kumi kubwa za leo bitoz

Aka mvuvi wa kambale
 
Kitu kimoja nawapendea hawa watu. Hawapendi na hawataki kutawaliwa kabisa. Wewe njoo na madege yako, Abrams tanks na silaha za kila aina. Wenyewe utawakuta na ngamia zao na AK 47 hawana shida. Mrusi alijaribu kwa miaka 10 mwishowe akasarenda na kukimbia. Mmarekani naye huu sijui mwaka wa ngapi anahangaika. Hawaogopi kufa; na hakuna silaha inayoweza kumshinda mtu asiyeogopa kifo!
45fd550389eca378561ae64d12fc7537.jpg
Makauzu kichizi ila Kundi la Taleban linawasumbua

Pia Afghanistan ipo kwenyec10 bora ya nchi maskini
.......
 
Ebolla huko ilitamba sana, na hawa jamaa nchi ambazo hawajaelimika ndio sehemu yao ya kufanya majaribio ya chanjo zao na kutengeneza magonjwa
bb0bee26c0c76152b6509035bd7981a4.jpg

Ila yule kiongozi wao wa zamani (Sankara) hata yeye nafikiri hakuwa na elimu kubwa lakini ni miongoni mwa viongozi maarufu Afrika kuwahi kutokea
.......
 
TOP TEN
wakuu leo tuone nchi 10 mbumbumbu zaidi duniani yaani zenye idadi kubwa ya wasionua kusoma na kuandika
Kuna usemi kwamba ukitaka kuwatawala watu kwa urahisi basi wanyime elimu
Waafrika kama kawaida yetu tumetawala 10 bora kwa kuingiza nchi 9
Takwimu ni za mwaka huu
Karibuni
.......
Ahsante mkuu

Nimekaribia

All the time God is good
 
3 Yohana 1

2.Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yako yote na kuwa na afya yako ,kama vile roho yako ifanikiwavyo.

TUOMBE

Asante Baba kutufikisha umbali huu.
Tunaomba toba kwa yote tunayokosea.
Bariki kazi za mikono yetu
Ponya wagonjwa ,watie nguvu wafiwa,wajane na yatima
Ponya familia na uzifanikishe katika afya,mwili na roho.
Tembea nasi siku ya leo
Roho Mtakatifu tuongoze tupe hekima katika kila jambo
Asante Baba kwa kuwa unatupenda na unatufanikisha
Najua utafanya sawasawa na mapenzi yako.
Katika jina la Yesu naomba na kushukuru.
Amen

Siku njema wapendwa Mfanikiwe kama neno lisemavyo,hiyo ni ahadi ya Mungu kwetu.Hivyo ni haki yetu tukiri mafanikio Amen
Amen mama Mchungaji ubarikiwe
 
Hapana. Wanaogopa vijana wao kuwa corrupted na western values; na kuachana na dini yao. Media ndiyo njia kuu ya kueneza mawazo na ajenda za Kimagharibi. Ni sawa na sasa ambapo ushoga na usagaji unaenezwa kwa nguvu zote. Sema tu Wataliban wao walikwenda mbali zaidi na mbinu zao wali/nazotumia si za kibinadamu. The little fat boy wa North Korea yeye anatumia mbinu tofauti na anafanikiwa tu...


All the time God is good
 
1/Gambia
52e834449169c6427bb9873745502c69.jpg

Hii nchi ina idadi ya watu milioni 2
Inakadiriwa 66% hawajui kusoma na kuandika
.
.
.
Kwa ujumla nchi za Afrika Magharibi ndiyo zimetawala ...tena ndo zinazoongoza kwa mapinduzi ya kijeshi pamoja na viongozi kukaa madarakani muda mrefu bila kusahau vita vya wenyewe kwa wenyewe
Shukrani kwa waliofuatilia mada
Tukutane kesho
Mwisho
............
Ahsante mkuu Bitoz kwa kumi bora

All the time God is good
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom