Makapuku Forum

Makapuku Forum

327df82f1a14ad8d28ed049f0aa26e61.jpg

Half Time
Mechi ngumu
Ila ubingwa lazima
......
 
MITHALI 22

6.Mlee mtoto katika njia impasayo,naye hataiacha ,hata atakapokuwa mzee.

Hakika ukichukua hatua za makusudi za kufundisha watoto,hutajuta..muelimishe,mfundishe kazi,unapofanya kazi naye ashiriki ,atafahamu wajibu wake,hatakuwa anafanya hivyo vitu kwasababu labda ya miundombinu ,uwezo au kuiga lakini mazingira yakibana hatalala njaa,ataokota kuni,atapika,atasaidia hata wahitaji..tumuombe Mungu kuwasaidia watoto,wadogo zetu ili wawe watu wazima responsible
Wisdom
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom