shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Mama mchungaji mwanao shunie yuko wapiAll the Best![]()
Mama mchungaji mwanao shunie yuko wapiAll the Best![]()
😀😀😛😛 Yuko wapi mtani wangu.
TumeishakaribiaTOP TEN
wakuu leo tuone nchi 10 mbumbumbu zaidi duniani yaani zenye idadi kubwa ya wasionua kusoma na kuandika
Kuna usemi kwamba ukitaka kuwatawala watu kwa urahisi basi wanyime elimu
Waafrika kama kawaida yetu tumetawala 10 bora kwa kuingiza nchi 9
Takwimu ni za mwaka huu
Karibuni
.......
Aisee hatari sana10/Benin
![]()
Inapatikana huko Afrika ya Magharibi
Nchi hii ina watu takribani milioni 11
Lugha kuu ya Benin ni Kifaransa
58% ya wananchi wake hawajui kusoma wala kuandika
...........
10/Benin
![]()
Inapatikana huko Afrika ya Magharibi
Nchi hii ina watu takribani milioni 11
Lugha kuu ya Benin ni Kifaransa
58% ya wananchi wake hawajui kusoma wala kuandika
...........

Ndiyo njia rahisi ya kuwatawala wananchiAisee hatari sana
9/Guinea![]()
Nchi hii pia linapatikana huko Afrika ya Magharibi
Ina idadi ya watu milioni 10
Ni 41% tu ya Waguinea ndiyo wanajua kusoma na kuandika waliobaki wote hollah....yaani 59% ukiwapa hata gazeti watalitazama tu utafikiri wameona nyota
......

Ndiyo njia rahisi ya kuwatawala wananchi
Hata hapa kwa Sizonje wameanza kubania watu kusoma vyuo vikuu kwa kupandisha alama pamoja na kuwanyima mikopo
Viongozi wa Kiafrika ni shida
.......

AsanteTOP TEN
wakuu leo tuone nchi 10 mbumbumbu zaidi duniani yaani zenye idadi kubwa ya wasionua kusoma na kuandika
Kuna usemi kwamba ukitaka kuwatawala watu kwa urahisi basi wanyime elimu
Waafrika kama kawaida yetu tumetawala 10 bora kwa kuingiza nchi 9
Takwimu ni za mwaka huu
Karibuni
.......

I see10/Benin
![]()
Inapatikana huko Afrika ya Magharibi
Nchi hii ina watu takribani milioni 11
Lugha kuu ya Benin ni Kifaransa
58% ya wananchi wake hawajui kusoma wala kuandika
...........
Mmmh!9/Guinea![]()
Nchi hii pia linapatikana huko Afrika ya Magharibi
Ina idadi ya watu milioni 10
Ni 41% tu ya Waguinea ndiyo wanajua kusoma na kuandika waliobaki wote hollah....yaani 59% ukiwapa hata gazeti watalitazama tu utafikiri wameona nyota
......
Too bad8/Ethiopia
![]()
Nchi hii ya Haile Sellasie ina mambo ya kushangaza yaani inajali zaidi kujenga barabara,treni za umeme ,kununua ndege n.k kuliko kuwapa elimu wananchi wake usishangae ndio maana kila siku wanafia kwenye malori wakitoroka nchi
Inakadiriwa kuwa na watu karibia milioni 100
Ni 40% pekee walioelimika
Yaani 60% wapo wapo tu wao na maandishi hawapatani
.......
Mbayaaa7/Chad![]()
Wachad wengi ni wafuasi wa dini ya Kiislamu ambao ni 55% wakati Wakristo ni % ya wananchi wote
Inakadiriwa ni 39% pekee ndiyo wanaojua kusoma na kuandika
61% hawajui kitu
........
Mbaya sana6/Burkina Faso![]()
Inapatikana huko Afrika Ya Magharibi
Ina idadi ya watu milioni 17
62% hawajui kusoma na kuandika
........