Makapuku Forum

Makapuku Forum

1953 - Pierce Brosnan anazaliwa.

Ni actor kutoka nchini Marekani.

Amewahi kuigiza movie za James Bond, akiwa kama James Bond.
ab48c2615a644d7a8e343ab13aa950a6.jpg
79b7da1690ae5ee7cec80527c6b2c2f4.jpg

Ila jamaa anajua
.....
 
Poa poa bitoz

Kuna mtu jana anasema awamu hii haina kujuanna

Jana hawa watu wa majembe wameniumiza huko huko masaki sh 50,000 nilikuwa ndani ya gari naongea na simu, huwezi amini nilifuatwa kama jambazi aisee

Baadaye nasikia na malima naye yamemkuta
Pole sana
Awamu hii ni kukamuana tu
Kuna kodi kibao zisizo rasmi

.......
 
Mkuu nimeangalia mechi zote
Nimegundua Mali ndo timu hatari zaidi
Angola siyo wazuri sana wana tatizo kubwa safi ya ulinzi kule nyuma kunavuja na tunaweza kabisa kuwafunga mechi ijayo
Niger nao ni shida wanacheza soka la kushambulia kilichowaponza Jana ni kushindwa "kuua mechi" kwa kupoteza nafasi za wazi kabisa

Mechi ijayo tukimfinga Angola mambo yatakuwa safi kabisa
.........
Niger fowadi yao inasogea mbele (attack) hivyo ni rahisi kumfunga Mali.
Angola, beki yao mbofu inakubali kufungwa hivyo tutaweza mfunga na akafungwa na Mali pia.
Je Niger kwetu itakuwaje?
Fowadi yetu sio nzuri saanaa hivyo ushindi ni mfinyu.
Beki yetu na kipa ziko vizuri sana kasoro beki mbili.
Mungu ibariki Serengeti boys the new kamazi.
 
Niger fowadi yao inasogea mbele (attack) hivyo ni rahisi kumfunga Mali.
Angola, beki yao mbofu inakubali kufungwa hivyo tutaweza mfunga na akafungwa na Mali pia.
Je Niger kwetu itakuwaje?
Fowadi yetu sio nzuri saanaa hivyo ushindi ni mfinyu.
Beki yetu na kipa ziko vizuri sana kasoro beki mbili.
Mungu ibariki Serengeti boys the new kamazi.
Mkuu Mali ndiye bingwa mtetrzi na ni timu bora kindi B
Fowadi ya Serengeti Boys ipo vizuri tu sema jama kutokana na ubora wa Mali ilibidi tuvheze kwa kujihami la sivyo tungepigwa zaidi ya goli 3
.
Niger ni Waziri kikawaida kilichowafanya Jana waonekane tishio ni udhaifu wa Angola ila sioni km ana jeuri ya kumfunga Mali
.
Kinachotakiwa ni mechi ijayo timfinge Angola halafu bila kujali matokeo kati ya Mali v Niger ...mechi ya Mwisho tunakomaa na Niger na kuwafunga au hata kutafuta safe(kitu ambacho kinawezekana kabisa)
Kisha biashara imekwisha tunaenda World Cup
Hili kundi B ndo "rahisi" kuliko tungekuwepo kundi A
Kinachofurahosha zaidi mdogo wanacheza kwa nidhamu Jana wamepigwa kadi 1 tu wakati Mali wamepigwa kadi 3
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom