Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aisee, sijui kwanini nakuwa wamwisho kufahamu mambo yanayoendelea humu.

Ilianza ya Shunie kuanzishiwa uzi (sorry, jukwaa limenitoka). Leo tena nimeona shedede na husna muba wameanzisha uzi.

Duh, huwa nasikia tu, oh tukutane kule, wala sijui ni wapi kumbe kuna kuhamisha magoli ya huku na kuyapeleka kwingine.
Mkuu One
Kila mtu yupo huru kufanya anachpjisikia
Hakuna kanuni wala sheria inaypmbana
Ila Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu
Asubuhi njema
.........,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom