Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
Huku kwetu ndio kunakua kumekuchaaAnachelewa kulala
Saa nane usiku ndio anaingia jf

Huku kwetu ndio kunakua kumekuchaaAnachelewa kulala
Saa nane usiku ndio anaingia jf

Leo katika Historia:
1974 - Josip Broz Tito anachaguliwa kuwa Rais wa Maisha wa Yugoslavia.
roho haiumi pacha?Wewe mkali
Hongera kwa kupata mpenz
Uliza now nataka nitoke..Karibu sana,. Baadae nitakuuliza swali![]()
![]()
Umbea !!Kumbe ni popo![]()

Huu muda sio mzuri kiafya..Uliza now nataka nitoke..
Hata kidogo pacharoho haiumi pacha?
Hahahaha, uchokonoziroho haiumi pacha?
Chio kweli bwanaHuku kwetu ndio kunakua kumekuchaa![]()
Sema ukweli mondiHata kidogo pacha
That is a kife cycle

Nasalimia tunawewe umefufuka aise
Pamoja sana mkuu musoliniAsante mkulu
Aaah nishatokewa na magumu mengi zaid ya hayo..Sema ukweli mondi![]()
Leo hii yuko wapi, maisha haya jamaniLeo katika Historia:
1974 - Josip Broz Tito anachaguliwa kuwa Rais wa Maisha wa Yugoslavia.
nasubiria hiyo cycle ifike kwanguHata kidogo pacha
That is a kife cycle
Tetramelyz niaje, uko poa lakiniMorning shululu
😉Hahahaha, uchokonozi
HBD Brosnan1953 - Pierce Brosnan anazaliwa.
Ni actor kutoka nchini Marekani.
Amewahi kuigiza movie za James Bond, akiwa kama James Bond.
Asante tetramelyzUwe na siku njema pia shululu
HBD Janet Jackson, mama mwenye mtoto mmoja1966 - Janet Jackson anazaliwa.
Mwanamuziki toka nchini Marekani.
Ni dada wa mwanamuziki nguli wa zamani wa pop, Michael Jackson.