Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aisee, sijui kwanini nakuwa wamwisho kufahamu mambo yanayoendelea humu.

Ilianza ya Shunie kuanzishiwa uzi (sorry, jukwaa limenitoka). Leo tena nimeona shedede na husna muba wameanzisha uzi.

Duh, huwa nasikia tu, oh tukutane kule, wala sijui ni wapi kumbe kuna kuhamisha magoli ya huku na kuyapeleka kwingine.
pole mkuu kwa kuwa Wa mwisho mwisho
 
3 Yohana 1

2.Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yako yote na kuwa na afya yako ,kama vile roho yako ifanikiwavyo.

TUOMBE

Asante Baba kutufikisha umbali huu.
Tunaomba toba kwa yote tunayokosea.
Bariki kazi za mikono yetu
Ponya wagonjwa ,watie nguvu wafiwa,wajane na yatima
Ponya familia na uzifanikishe katika afya,mwili na roho.
Tembea nasi siku ya leo
Roho Mtakatifu tuongoze tupe hekima katika kila jambo
Asante Baba kwa kuwa unatupenda na unatufanikisha
Najua utafanya sawasawa na mapenzi yako.
Katika jina la Yesu naomba na kushukuru.
Amen

Siku njema wapendwa Mfanikiwe kama neno lisemavyo,hiyo ni ahadi ya Mungu kwetu.Hivyo ni haki yetu tukiri mafanikio Amen
Amen mamy
Nimekumiss mama mchungaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom