Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
mm sirushiki roho mke mweeAaaah shemu acha kumrusha roho mke mwenzangu
mm sirushiki roho mke mweeAaaah shemu acha kumrusha roho mke mwenzangu
Ni kweliHiyo imekaa vzr sana... Tahadhari ni ya mhimu sana kwa kila jambo na maamuzi yake!!
hahahha kwa hamu zotehahaha..h so unaisubiria kwa hamu eeh
Umeamkaje Shedede? Uko mwepesiiii! Naona ume-calm down hata typos zimepungua! Jana Mkongoman ilibidi ajivike u-Faiza Foxy ili kutusaidia tuelewe ulichokuwa unajaribu kukisema.



unaendeleaje msukuma na jino
hahahhahnimeamka salama !! yule nae anavisa sana anajifanya aelewi wakati maneno yanaeleweka ........ ....... ......vip lakn mtani hali vip
kwa sasahivi ataukiyajua kuwa anaumbo la kimisi haikuhusu wacha kuipiga busu




nimewamis kinomaa na naona mabadiliko ya hali ya juu....mwendo wa kuchange avatar
shunie thanks for your care and love .....ulipo nipo Mungu akuzidishie

nimekumiss tu unaendeleaje lakininiko poa kiongozii,,,nionee mrembo shunie
kibaha ya wapi vileeeTupo kibaha mkoani
pole sana ..our mothers always are our heros

Aiseeeee
Anasema yeyeunajuajeee
ile ya mwanzo ilikua na jinaleo hutaki kuwachanganya watu na avatar? make ulikuwa hupendii kuwachanganya watu ...ila thanks
Tena yeye ni mshengababa mchuchu mimi nahusikaje hapo
niko poa kabisa salamu zinafika kwa wakatinimekumiss tu unaendeleaje lakini
acha tu shemela kaongea mazito sanaTena yeye ni mshenga
nashkuru kama zinafikaniko poa kabisa salamu zinafika kwa wakati