Makapuku Forum

Makapuku Forum

Umeamkaje Shedede? Uko mwepesiiii! Naona ume-calm down hata typos zimepungua! Jana Mkongoman ilibidi ajivike u-Faiza Foxy ili kutusaidia tuelewe ulichokuwa unajaribu kukisema.
nimeamka salama !! yule nae anavisa sana anajifanya aelewi wakati maneno yanaeleweka ........ ....... ......vip lakn mtani hali vip
 
NIMEFURAHI KUKUONA ,UNAENDELEAJE?
Maumivu ya kawaida tu mtumishi. Ndiyo nimemaliza kuongea na mama kumpa Happy birthday. Ni mzee sana (mi ni last born wake) na afya yake inayumba. Alinisomesha single handedly na namshukuru Mungu Angalau amemuweka hai mpaka sasa ili japo aonje faida yake kunisimamia nisome katika shida na raha.

Nimeona kule ukimkumbuka mama pia. Japo ametangulia lakini anaishi kupitia kwako. Ni wazi alikulea vyema na tumaini lipo kwamba siku moja mtaweza kuonana tena. Happy Mother's Day mtumishi mwema!
 
wakuu natanguliza salaam... wakubwa na wadogo heshima kwenu viongozii

nawashukuru sana familia hii pendwa kwa love ya kutosha mnenifikisha hapa nilipo ..i thanks all

japo ubize unakuwa mwingi ila tukibahatisha network kama hivi cha kwanza ni kujua familia inaendaje ..

love you all ...japo nimeskip pages
 
75f51d6ef9697cce0f3b2269da86a91d.jpg
Janet Jackson
 
wakuu natanguliza salaam... wakubwa na wadogo heshima kwenu viongozii

nawashukuru sana familia hii pendwa kwa love ya kutosha mnenifikisha hapa nilipo ..i thanks all

japo ubize unakuwa mwingi ila tukibahatisha network kama hivi cha kwanza ni kujua familia inaendaje ..

love you all ...japo nimeskip pages
Nice to hear from you sir. Shunie wako tangu jana analalamika hayuko sawa. Pengine upweke. Halafu na mlinzi naye kapata mke hiyo hiyo jana kakitoa basi shida juu ya shida. Ubarikiwe huko uliko na kazi za mikono yako zikalete faraja!
 
mkuuu heshima kwako kiongozi ,mwambieni shunie nimejaa teleeee...

shedede inspector kumbe naye kashapendwa ,,,vizurii sana
Nice to hear from you. Shunie wako tangu jana analalamika hayuko sawa. Pengine upweke. Halafu na mlinzi naye kapata mke hiyo hiyo jana kakitoa basi shida juu ya shida. Ubarikiwe huko uliko na kazi za mikono yako zikalete faraja!
 
wakuu natanguliza salaam... wakubwa na wadogo heshima kwenu viongozii

nawashukuru sana familia hii pendwa kwa love ya kutosha mnenifikisha hapa nilipo ..i thanks all

japo ubize unakuwa mwingi ila tukibahatisha network kama hivi cha kwanza ni kujua familia inaendaje ..

love you all ...japo nimeskip pages
Niaje mtoto wa Mao

Uko poa huko uliko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom