Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,936
Naskia alipewa kama compliment kwa kuhudumu kama Dk. wa MalkiaYap wa zamani kidogo. Uongozi wake ulijaa utata.
Naskia alipewa kama compliment kwa kuhudumu kama Dk. wa MalkiaYap wa zamani kidogo. Uongozi wake ulijaa utata.
Naskia alikuwa Dk. wa Malkia.....what do you expect???Hata mimi nimewahi sikia,ila ni dhambi kubwa kwa hawa wazungu
Amen MadamGoodmorning sir,have a Blessed day cheers![]()
![]()
..... be blessed .....cheerzzzzznafisi-nafsiNiambie kipenzi cha nafisi yangu
Hamuwezi kuishi bila kumtaja Msukuma? Happy Mother's Day!binamu anaongea sana kama msukuma
hahaha..h so unaisubiria kwa hamu eehNikiona hivyo umempata wa kukupenda nasikia rahaa nasubilia thread yake tu chitchat![]()
Umeamkaje Shedede? Uko mwepesiiii! Naona ume-calm down hata typos zimepungua! Jana Mkongoman ilibidi ajivike u-Faiza Foxy ili kutusaidia tuelewe ulichokuwa unajaribu kukisema.hahaha..h so unaisubiria kwa hamu eeh
AiseeNaskia alipewa kama compliment kwa kuhudumu kama Dk. wa Malkia
Yeye na Nyerere hawakuelewana kabisa kwa sababu alikuwa rafiki mkubwa wa nchi za kibepari. Alikuwa na uwezo mkubwa wa kuzungumza Kiingereza bila accent na alipendwa sana na Malkia. Kwa ujumla Nyerere na genge lake la wajamaa - Lumumba, Obotte, Kaunda, Netto, Mugabe, Nkrumah na Samora walimwona kama kibaraka tu; na kampeni nyingi za kuteteresha nchi za Kiafrika zilikuwa zikipitia kwake via Makaburu. Alihusishwa pia na mauaji ya Samora na Netto.1898 - Kamuzu Banda anazaliwa.
Rais wa kwanza wa Malawi.
hahaha..h bae naona umemjibu wifi akoHata siweki kwa taarifa yako sasa![]()
kwemaJaman kwema hapa
kwa sasahivi ataukiyajua kuwa anaumbo la kimisi haikuhusu wacha kuipiga busuHaaa, nimeon asubuhi nikajua shedede kafumaniwa akakimbia asubuhi kumbe ni wewe dear, za asubuhi?
Nimekumiss japo leo sio alhamisi na sina hakika kama una umbo la kimiss.
Ni mambo ya genetic/hormone tu hayo
Wapo wanaozaa wakiwa na zaidi ya miaka 50 pia......
mmmh aliexist vip![]()
![]()
Huyo mama muhuni aisee
Labda km alibakwa!!!
.....
.
Japo ni bilionea na mmiliki wa FB lakini ni mtu asiyekuwa na mbwembwe yaani km Maxence Melo vile![]()
Hebu fikiria mwanzilishi wa JF angekuwa ni Ngedere Ungabu
Angekuwa anasumbua balaa
![]()
![]()
![]()
....

na alegee ikibidiHuwezi kuturoga, ushindwe kwa jina la yesu
NIMEFURAHI KUKUONA ,UNAENDELEAJE?