Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Dada mzimaAiseee
Dada mzimaAiseee
Mimi nimewahi kupata nikiwa darasa la 1 na la 2
hakuna kitu kibaya kuona watu wanahangaika wakati bingwa tayari ashapatikana![]()
Safi sana Liver
Bora ArsayNO akose top 4
Kila siku anatalii tu UEFA akae pembeni sasa ajifunze kwa Chelsea last season walivyokosa top 4
Sio kila siku kufungwa 8 au 10
.
.
Man Utd tujibebee Europa
.......
Endeleeni kukaririFarijianeni kwa maneno hayo asema bwana
Top 4 kama kawa
Man habebi kombe
Amini nakuambia bitoz
Tatizo mambo ya kilimo hayahitaji uige ukuiga lazima utakichukia kilimoNdio wajifunze timing
Yaani wamekula hasara matikiti yanapenda maji/mvua hivyo yamestawi fresh hadi kurundikana sokoni na kuoza
.........
Mi hizo nimepata mpaka darasa la tano miaka hiyoMimi nimewahi kupata nikiwa darasa la 1 na la 2
Sijui nyie
![]()
![]()
![]()
.......
hakuna kitu kibaya kuona watu wanahangaika wakati bingwa tayari ashapatikana
[HASHTAG]#chelseafchampion[/HASHTAG]
Yaani yaleyale ya kuigaTatizo mambo ya kilimo hayahitaji uige ukuiga lazima utakichukia kilimo
Kilimo inatakiwa uwe tayari kwa lolote lile na ujue kulima kwa mahesabu makubwa ukulima kwa kuwa Fulani analima utajikuta umetupa hela yako tu
Wengine hawajawahi kupata japo A moja tu maisha yao yote!!!Mi hizo nimepata mpaka darasa la tano miaka hiyo
mkuu kwema ?? famili yako haijambo kwema ulikotoka??wakuu natanguliza salaam... wakubwa na wadogo heshima kwenu viongozii
nawashukuru sana familia hii pendwa kwa love ya kutosha mnenifikisha hapa nilipo ..i thanks all
japo ubize unakuwa mwingi ila tukibahatisha network kama hivi cha kwanza ni kujua familia inaendaje ..
love you all ...japo nimeskip pages
Habari za, maporini ??!wakuu nilikuwepo tuwe na siku njema ,,,,
bhinamu obe akija anweke nyuzi ya kalunde tx
Hii inawafanya wanao iga kuwa watu wakulaumu kila siku huku mwenye wazo la kibunifu akichanja mbuga na maendeleo yakeYaani yaleyale ya kupiga
Jirani akiuza Ice cream na ww unauza
Akianzisha ufugaji wa kuku na ww unafuga
.....
ohooo.. boss mi sio wa mchezo boss habar za ulipotoka..?mkuuu heshima kwako kiongozi ,mwambieni shunie nimejaa teleeee...
shedede inspector kumbe naye kashapendwa ,,,vizurii sana
Mkuu ujue linapo kuja swala la maisha huja tofauti na somo la darasani na hapo ndo utofauti unakuja maana unaweza kuwa mzuri darasani lakini kwenye maisha ukawasindikizaji na unaweza ukawa kilaza darasani na ukaja kwenye maisha ya kawaida ukatusuaWengine hawajawahi kupata japo A moja tu maisha yao yote!!!
Lakini wana A ya mafanikio kimaish..
......
Habari yako mkuuHabari za, maporini ??!
Tena na huu Umagufool ni hatari kuchukua mikopo ambayo ina risk kubwaHii inawafanya wanao iga kuwa watu wakulaumu kila siku huku mwenye wazo la kibunifu akichanja mbuga na maendeleo yake
Na kuna wakati kupiga kunatufanya tuingie katika mikopo ambayo inakuja kutugarimu na mwisho wa siku tunaanza kumtafuta mchawi
Afandee jambomkuu kwema ?? famili yako haijambo kwema ulikotoka??
MmmhAvatar shemela yaani aisee
Avatar imenichanganya![]()
![]()
![]()