Makapuku Forum

Makapuku Forum

bdee824409e1ec3422ab4a6b839c962f.jpg
wakulima/wafanyabiashara wa matikiti mwezi huu wanakula hasara
Hili lote 500 yaani hata 300/ wanakuuzia wakati kawaida huuzwa hadi buku mbili
.......
Na hizi mvua ndio hatari kabisa, hata 200 watauza,

Jamaa yangu kayalima upande wa saadan,hana hamu na kilimo hicho tena
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom