Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Kibaha kwema, japo kulikuwa na mvua asubuhi, lakini sasa pako SafiMbeya kwema mkuu habari za hapo kibaha
Poa mkuuKibaha kwema, japo kulikuwa na mvua asubuhi, lakini sasa pako Safi
Thanks ShululuSina la ziada kutoka magazetini kwa udhamini mnono wa Mama mchungaji BH, nawatakieni wote ijumaa njema
Amen..... Thanks MamaZABURI 143
8.Unifanye kusikia fadhili zako asubuhi ,Kwa maana nimekutumainia Wewe Unijulishe njia nitakayoiendea ,Kwa maana nakuinulia nafsi yangu.
TUOMBE
Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Bwana Mungu wa majeshi asante kwa siku mpya ya leo na kutuamsha salama,wapo watu wengi walitamani kuiona siku ya leo walikua na mipango mingi na maono mbalimbali lakini hawajaweza ,wengine umewaita,wengine ni mahututi vitandani,wengine wanachangamoto mbalimbali Baba sisi ni nani hatuna cha kukupa zaidi ya kusema Asante![]()
Tunaomba utusamehe makosa yote tunayotenda kwa mawazo maneno na matendo uturehemu twa kusihi.
Waponye wagonjwa,fariji wafiwa,watie nguvu yatima,wajane ,wahitaji wakutumainie wewe tu.
Tunakabidhi mapito yetu yote,nyoosha njia zetu Baba tunajikabidhi kwako tujulishe njia sahihi ya kuiendea siku yaleo
Tunaomba maafa ya mvua yaishe ponya majeraha yote ya mafuriko,maporomoko,mvua isiyokoma ,neema yako itawale.
Bariki wasafiri majini ,nchi kavu na angani wafike salama
Tunaomba Amani na Upendo vitawale
Tunaomba bariki kazi za mikono yetu
Tunaomba Roho Mtakatifu atuongoze ,tusipungukiwe.
Katika jina la Yesu tunaomba na kushukuru Amen
Raha ya milele uwape marehemu wote,na mwanga wa milele uwaangazie wapumzike kwa Amani Amen
SIKU NJEMA WAPENDWA![]()
![]()
![]()
habar wakuu habar nigani

Ndipo pakaja,imbombo papapaaTununu dada ukali kujakata ukuja kumbombo
ndio nyie mkiwa mjini mnajifanya kilugha chenu hamkitaki kwendraaandio nini?? situmiagi hizo vitu meme
wamefanana hao majamaa
Aiseee huyo Isabella ndio biashara matangazo au
Asante shemela kwa magazetiSina la ziada kutoka magazetini kwa udhamini mnono wa Mama mchungaji BH, nawatakieni wote ijumaa njema
Ameen mama mchuchu ubarikiwe kwa nenoZABURI 143
8.Unifanye kusikia fadhili zako asubuhi ,Kwa maana nimekutumainia Wewe Unijulishe njia nitakayoiendea ,Kwa maana nakuinulia nafsi yangu.
TUOMBE
Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Bwana Mungu wa majeshi asante kwa siku mpya ya leo na kutuamsha salama,wapo watu wengi walitamani kuiona siku ya leo walikua na mipango mingi na maono mbalimbali lakini hawajaweza ,wengine umewaita,wengine ni mahututi vitandani,wengine wanachangamoto mbalimbali Baba sisi ni nani hatuna cha kukupa zaidi ya kusema Asante![]()
Tunaomba utusamehe makosa yote tunayotenda kwa mawazo maneno na matendo uturehemu twa kusihi.
Waponye wagonjwa,fariji wafiwa,watie nguvu yatima,wajane ,wahitaji wakutumainie wewe tu.
Tunakabidhi mapito yetu yote,nyoosha njia zetu Baba tunajikabidhi kwako tujulishe njia sahihi ya kuiendea siku yaleo
Tunaomba maafa ya mvua yaishe ponya majeraha yote ya mafuriko,maporomoko,mvua isiyokoma ,neema yako itawale.
Bariki wasafiri majini ,nchi kavu na angani wafike salama
Tunaomba Amani na Upendo vitawale
Tunaomba bariki kazi za mikono yetu
Tunaomba Roho Mtakatifu atuongoze ,tusipungukiwe.
Katika jina la Yesu tunaomba na kushukuru Amen
Raha ya milele uwape marehemu wote,na mwanga wa milele uwaangazie wapumzike kwa Amani Amen
SIKU NJEMA WAPENDWA![]()
![]()
![]()
Shikamoo mama mchuchuAsante![]()
Binamu shikamooShululu , BlessedHope asanteni kwa kuianzisha siku hii ya Ijumaa kwa magazeti na sala.
Group hili ni bora sana kwa sababu ninyi mu sehemu yake. Asanteni
Asubuhi njema Makapuku, tukumbuke leo ni Ijumaa so, tuendeshe n kutembea kwa hadhari
Pamoja mzee wa lubumbashiThanks Shululu
Salama za ww kakMmeamkaje humu ndani
UMAKINI KATIKA KAZI ZAKO HUONGEZA UFANISI WA KAZI YAKO
MmhKibaha kwema, japo kulikuwa na mvua asubuhi, lakini sasa pako Safi
Shemela umeamkajendio nyie mkiwa mjini mnajifanya kilugha chenu hamkitaki kwendraaa
Asante kwa kuyapitia shemelaAsante shemela kwa magazeti
salama shemela umeamkaje na wwShemela umeamkaje