Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Akija mondray anakwambia ni wakehapana husna wa binamu obe kashakua shangazi yangu msukuma akae kwenye foleni
Akija mondray anakwambia ni wakehapana husna wa binamu obe kashakua shangazi yangu msukuma akae kwenye foleni
Ndio nilikuwa namwambia kuwa simtaki ila atakuwa kaka yangu tu coz ni muha mwenzangu

Wengine wananyonyesha na hawamalizi hata three month!!!Hiyo ya kunyonyesha nitaitumia mm kama njia ya uzazi wangu wa mpango
Rest in Peace Marc Vivian Foe,nimeumia sana huyu marehemu siku anapata shida uanjani iliyioelekea mauti yake niliuangalia ule mpira tangu mwanzo hadi anaanguka..kifo hakichagui siku wala saa tunapaswa kulijua hilo na kuwa tayari kila wakati5/Football![]()
![]()
Hapa tunaongelea mpira wa miguu wa Kimarekani(American football) pamoja na wa kawaida
Hapa watu hugonfana na kutumia vibaya au kuchezea na rafu za makusudi
Hapa Eduardo Da Silva akichezea kwanja![]()
![]()
Hapa Djibril Cisse akiwa kavunjika vibaya![]()
![]()
Wengine hudondoka uwanjani na kufariki kama Marc Vivien For mmoja kati kiungo box to box bora zaidi kuwahi kutokea ambaye hakuwa na mbwembwe km za Pogba yaani nywele fupi kipilipili tu
........

Pole kwa majeruhi wote5/Football![]()
![]()
Hapa tunaongelea mpira wa miguu wa Kimarekani(American football) pamoja na wa kawaida
Hapa watu hugonfana na kutumia vibaya au kuchezea na rafu za makusudi
Hapa Eduardo Da Silva akichezea kwanja![]()
![]()
Hapa Djibril Cisse akiwa kavunjika vibaya![]()
![]()
Wengine hudondoka uwanjani na kufariki kama Marc Vivien For mmoja kati kiungo box to box bora zaidi kuwahi kutokea ambaye hakuwa na mbwembwe km za Pogba yaani nywele fupi kipilipili tu
........
Tuko tofauti tofauti ati! Na thamani yetu imo katika utofauti huu. Sote tungekuwa kama mzeewakungoa LIFE WOULD BE BORIIIIINGKwa kuandika tu kweli unaandika... Si mchezo.



Haunihusu cho chote. Nilikuwa namkanya tu kwa sababu inaonekana kanishupalia kweli kweli. Nilikuwa namsaidia kutua mzigo alionao!

Watu mna manenooooooooHaunihusu cho chote. Nilikuwa namkanya tu kwa sababu inaonekana kanishupalia kweli kweli. Nilikuwa namsaidia kutua mzigo alionao!
Mungu aingilie kati maporoko yakome katika jina la Yesu,majeruhi Mungu awape uponyaji ,pole kwa ndugu jamaa wote kwa shida hii,Mungu wetu ni wa huruma atasitisha dhoruba na kutakua salama![]()
![]()
![]()
Mawe yanaanguka huko Lushoto eneo LA vugha road yamedondokea gari majeruhi wamekimbizwa hospital
lushoto kwetu Mungu asaidie![]()
Maywether from TMT
Asante shemelakaribu sana uswahilini kwetu
Ha haa mwongo weweNimegundua ni kaka yangu yule
Zitakuwa no zao za bahati zinafananahapana ana utaratibu wake wa kuchange avatar naona huyo raisi wa korea kakaa sana
I see zoote burudani6/Hockey![]()
![]()
![]()
Huu mchezo unaweza kuudharau lakini ni hatari kinoma
Sababu?
Wachezaji huvaa kofia ngumu na viatu vya kuteleza/matairi hivyo kusababisha mtu kuanguka kwa urahisi na pengine kujigonga ukutani pindi akisukumwa
Sasa pia unaweza kujikuta unateleza na kuchanika msamba
Huu mchezo unahitaji umakini mkubwa na nguvu
Mara kadhaa wachezaji hufanyiana ubabeubabe tu
.........
Huu si mchezo!!! ni kifo!!!2/Bull riding![]()
![]()
Mchezo huu wa kucheza na ng'ombe dume ni hatari
Hawa ni ng'ombe walioshiba wa miraba mine sio wale njaanjaa wa Chato na Kolomije
Ilitokea ajali mfano ya kukanyagwa unaweza kujikuta unajinyea kabisa,kuvunjika mbavu pamoja na kupasuka kiungo vya ndani
Wengi hufia hospitali wakipatiwa matibabu
Pia kipindi kingine ng'ombe hupandisha kichwa na kuanza kujeruhi mashabiki
.........
Thanks bro.1/Horseback Riding![]()
![]()
![]()
Huu mchezo ukiuangalia unaweza kuuchukulia poa lakini nenda kajaribu kuucheza
Mara nyingi ajali zake zina risk kubwa mfano kukanyagwa na far as I,kuangukia kichwa n.k
.
.
.
.
Ahsanteni kwa kufuatilia mada
Tukutane kesho
Mwisho
.........
Sana,ila wanalemaa sana7/Boxing![]()
![]()
Hapa tunaongelea ndondi za kawaida pamoja na n ickboxing
Juzijuzi tu zimepigwa ngumi za kufa mtu kati ya Anthony Joshua na Vladimir Klitschko's ambapo tulishuhudia ngumi nzito kama mawe
Pia sio muda mrefu mdogo wa Matumla alizimia uwanjani baada ya kupigwa ngumu ya kichwani
Hapa wengi hupata madhara ya muda mrefu au mfupi
Mfano inasadikiwa Muhammad Alli baada ya kustaafu ngumi alipata ugonjwa uliotokana na madhara ya kupigana ndondi ambazo ziliathiri sehemu ya ubongo
Ila hawa jamaa huvuta mkwanja mrefu si mnamkumbuka yule mswahili Floyd Mayweather Jr
.......
Rest in Peace Marc Vivian Foe,nimeumia sana huyu marehemu siku anapata shida uanjani iliyioelekea mauti yake niliuangalia ule mpira tangu mwanzo hadi anaanguka..kifo hakichagui siku wala saa tunapaswa kulijua hilo na kuwa tayari kila wakati![]()