Makapuku Forum

Makapuku Forum

90c51024ba291326365b314439157dde.jpg
2e008fb083ccd0aef2dbd53314bbe754.jpg
f01aa0320b0665d357258e57bbf1dce2.jpg

Mawe yanaanguka huko Lushoto eneo LA vugha road yamedondokea gari majeruhi wamekimbizwa hospital

lushoto kwetu Mungu asaidie
 
7/Boxing
202d7e7bf093263b552199986bb806ec.jpg
7ca9d665483f66aa42a2be7861359c65.jpg

Hapa tunaongelea ndondi za kawaida pamoja na n ickboxing
Juzijuzi tu zimepigwa ngumi za kufa mtu kati ya Anthony Joshua na Vladimir Klitschko's ambapo tulishuhudia ngumi nzito kama mawe
Pia sio muda mrefu mdogo wa Matumla alizimia uwanjani baada ya kupigwa ngumu ya kichwani
Hapa wengi hupata madhara ya muda mrefu au mfupi
Mfano inasadikiwa Muhammad Alli baada ya kustaafu ngumi alipata ugonjwa uliotokana na madhara ya kupigana ndondi ambazo ziliathiri sehemu ya ubongo
Ila hawa jamaa huvuta mkwanja mrefu si mnamkumbuka yule mswahili Floyd Mayweather Jr
.......
Maywether from TMT
 
7/Boxing
202d7e7bf093263b552199986bb806ec.jpg
7ca9d665483f66aa42a2be7861359c65.jpg

Hapa tunaongelea ndondi za kawaida pamoja na n ickboxing
Juzijuzi tu zimepigwa ngumi za kufa mtu kati ya Anthony Joshua na Vladimir Klitschko's ambapo tulishuhudia ngumi nzito kama mawe
Pia sio muda mrefu mdogo wa Matumla alizimia uwanjani baada ya kupigwa ngumu ya kichwani
Hapa wengi hupata madhara ya muda mrefu au mfupi
Mfano inasadikiwa Muhammad Alli baada ya kustaafu ngumi alipata ugonjwa uliotokana na madhara ya kupigana ndondi ambazo ziliathiri sehemu ya ubongo
Ila hawa jamaa huvuta mkwanja mrefu si mnamkumbuka yule mswahili Floyd Mayweather Jr
.......
Namuona hapo Silva "The Spider" siku alipovunjika mguu hivi hivi kimchezo mchezo.

Ngumi ni hatari kusema kweli na ukiangalia vizuri hata mabondia wa zamani ambao wako hai hata kuongea kwao ni kwa shida. Thomas "The Hit Man" Hearns, Sugar Shane Mosley, Sugar Ray Leonard, George Foreman, Evander Hollyfield, Larry Holmes, Frank Bruno na wengineo ukisikia wanahojiwa yaani ni lazima usikilize lwa makini sana. Wana slurred speech ambayo ni dalili mojawapo ya dementia na magonjwa mengine ya ubongo kama Alzheimer na Parkinson's. Wanaoonekana kuwa sawa ni wale wajanja ambao hawakuwahi kupigwa sana kichwani - akina Mayweather, John "The Executioner" Hopkins na wengine wachache.
ccaae9a6bfcc96d00bdfb4bd501ebdf6.jpg
 
5/Football
133b6c0c036ba4df9a5813d2ec5dcadd.jpg
910eadf036b463e81bedea83539e4fcb.jpg

Hapa tunaongelea mpira wa miguu wa Kimarekani(American football) pamoja na wa kawaida
Hapa watu hugonfana na kutumia vibaya au kuchezea na rafu za makusudi
ca35103e0f482ea2f359b895b5c98682.jpg
bc315ccb822ba82fb07264bfa6db8fc5.jpg
Hapa Eduardo Da Silva akichezea kwanja
b8e210aa9f45394ef5e9def4a779fc6c.jpg

Hapa Djibril Cisse akiwa kavunjika vibaya
8161af758a2b667ad0aaad625be9348d.jpg
4058c3e4a51706601b5fc11cd0c8a796.jpg

Wengine hudondoka uwanjani na kufariki kama Marc Vivien For mmoja kati kiungo box to box bora zaidi kuwahi kutokea ambaye hakuwa na mbwembwe km za Pogba yaani nywele fupi kipilipili tu
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom