Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Woyoooooooo hapo cc.binamu obe shangazi yetu huyu hapa kashapatikana mpe good musicMi nataka binamu![]()
Woyoooooooo hapo cc.binamu obe shangazi yetu huyu hapa kashapatikana mpe good musicMi nataka binamu![]()
Pimbi ,andunje yote yake lohHaya Andunje
SafiiiiiNa wangu ni obe

binamu obe mzee wa bakurutu ukujeee machungu ya mama mchuchu yameisha
teh tehshilawadu wewee
Mm maswali sipendi nitajibu mwanzo yakiendelea nimechokaKwani hupendi kumwelewesha asie elewa
Oooh ndege hutua kwenye mti aupendaoNa wangu ni obe
Hayaamini maneno yangu sio mtu mwingine
True hata hawa wajukuu wengine hawana nimejaribu kugusa hapa![]()
![]()
![]()

sasa shangazi ushakua wa binamu obe mambo ya kilugha na mondray hatutakiiiSingomba we ulini wagole weshi
Napenda kuangalia huu mchezo8/Wrestling![]()
![]()
Huu mchezo ukiwaangalia akina John Cena,Hulk Horgan ,Machoman n.k utauona kama maigizo tu
Kuna mieleka ya aina nyingi pia ya ridhaa...hapa pia wanakutana madume ya soka mwendo wa kupogana vipepsi na makabali tu
Wengi huvunjika mifupa..pia inapotokea mtu kurushwa nje ya ulingo ni hatari
Pia ulingo unapowekewa sentence
Don't try this at home!!!!
..........
TOP TEN
Michezo ni furaha,michezo hukutanisha watu wa kila sina
Sasa leo tuangalie mivhezo kumi maarufu zaidi ambayo ni hatari kwa kusababisha majeruhi ni vifo
Karibuni
..........

Safiiiiibinamu obe mzee wa bakurutu ukujeee machungu ya mama mchuchu yameisha

Shetani muongo sana,huyo baba anajitetea bila aibu,mafuriko yakupeleke straight kwenye kitanda cha mtu,tuwaombe sana wababa

hahahhh dogo eti yy mkristo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
dogo kasema ukweli wake
7/Boxing![]()
![]()
Hapa tunaongelea ndondi za kawaida pamoja na n ickboxing
Juzijuzi tu zimepigwa ngumi za kufa mtu kati ya Anthony Joshua na Vladimir Klitschko's ambapo tulishuhudia ngumi nzito kama mawe
Pia sio muda mrefu mdogo wa Matumla alizimia uwanjani baada ya kupigwa ngumu ya kichwani
Hapa wengi hupata madhara ya muda mrefu au mfupi
Mfano inasadikiwa Muhammad Alli baada ya kustaafu ngumi alipata ugonjwa uliotokana na madhara ya kupigana ndondi ambazo ziliathiri sehemu ya ubongo
Ila hawa jamaa huvuta mkwanja mrefu si mnamkumbuka yule mswahili Floyd Mayweather Jr
.......
tunamkumbukaHawafanyi vizuriPole nadhani wanazima hizi mvua na miundombinu ya tanesco si mizuri