Makapuku Forum

Makapuku Forum

4/Gymnastic
de62fab982e657becd989e2cdd8843a2.jpg
33faf1b2c2b105390f53d4d2aa04e147.jpg
e5dcdcbe646aaf5f9906321893fa2cf2.jpg

Huu nao ni hatari pindi mtu anapokesea mahesabu huweza kuvunjika vibaya
Pia wakati wa kuruka juu unaweza kuzidisha kipimo au kupunguza sasa utajikuta unaangukia sehemu isiyo na godoro na hapo lazima uvunjike au pengine kufa
Pia kuna ajali za nguo kuchanika hivyo kujikuta unakaa uchi mbele za watu/kamera
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom