Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mdomo unaumba acha kujitamkia mambo yasiyo kweli,yakitokea utaomba nikuombee,siku utashtukia transfer from masaki to manzese kambi ya fisi.
Hizi fake ID 's zinatufanya tutamke mengiiiii, Mungu atusaidie tupone

Hebu sikiza khs ULIMI
YAKOBO 3

9.Kwa huo twsmhimidi Mungu Baba yetu ,na kws huo twalaani wanadamu waliofanywa kws mfano wa Mungu.

10.katika kinywa kilekile kwatoka baraka na laana

Hebu tujitabirie mema na mazuri,sisemi manzese ni pabaya lakini sifa ya uwanja wa fisi wote tumewahi isikia hivi kweli mpendwa wangu Shunie unapenda kuishi hapo,basi tafuta mahali pengine hatutakuja
Mmh mama mchuchu jamaan nisamehe si unajua humu utani mwingi mama angu
 
bf2b93d314c9c7141a712083ebf13da1.jpg

...
Jipuuu
 
Mdomo unaumba acha kujitamkia mambo yasiyo kweli,yakitokea utaomba nikuombee,siku utashtukia transfer from masaki to manzese kambi ya fisi.
Hizi fake ID 's zinatufanya tutamke mengiiiii, Mungu atusaidie tupone

Hebu sikiza khs ULIMI
YAKOBO 3

9.Kwa huo twsmhimidi Mungu Baba yetu ,na kws huo twalaani wanadamu waliofanywa kws mfano wa Mungu.

10.katika kinywa kilekile kwatoka baraka na laana

Hebu tujitabirie mema na mazuri,sisemi manzese ni pabaya lakini sifa ya uwanja wa fisi wote tumewahi isikia hivi kweli mpendwa wangu Shunie unapenda kuishi hapo,basi tafuta mahali pengine hatutakuja
Asante barikiwa sana
 
10/Motorcross
a45a743d7d1a1407d4ef1199f85699c6.jpg
f9e9217103590ee2082b7e14cb90fd1b.jpg

Haya ni maonyesho/mashindano au mbio pengine mchezo ya pikipiki kwenye barabara za vumbi au sehemu maalumu iliyotengenezwa mafuta/vilima
Sasa huu mchezo unaendesha pikipiki kwa spidi kubwa halafu ukifika kwenye kilima unarushwa juu pengine umbali wa futi 10 na hata 50 sasa hapo ukikosea mahesabu shauri yako
Pia mara nyingine pikipiki inapata hitilafu ya kiufundi
Ilitokea ajali watu huumia vibaya na hata kufa
...........
Duuh
 
10/Motorcross
a45a743d7d1a1407d4ef1199f85699c6.jpg
f9e9217103590ee2082b7e14cb90fd1b.jpg

Haya ni maonyesho/mashindano au mbio pengine mchezo ya pikipiki kwenye barabara za vumbi au sehemu maalumu iliyotengenezwa mafuta/vilima
Sasa huu mchezo unaendesha pikipiki kwa spidi kubwa halafu ukifika kwenye kilima unarushwa juu pengine umbali wa futi 10 na hata 50 sasa hapo ukikosea mahesabu shauri yako
Pia mara nyingine pikipiki inapata hitilafu ya kiufundi
Ilitokea ajali watu huumia vibaya na hata kufa
...........
Aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom