Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hii ni kweli kabisa ,tuwe waangalifu sana na mawasiliano,mahusiano na wanawake kimya kinaweza kuwa furaha au huzuni hata biblia imeandikwa so ni kanuni ya kibiblia ukiifuata hutapata tabu

1 PETRO 3

7 .Kadhalika enyi waume kaeni na wake zenu kwa akili na kumpa mke heshima.....
Hekima zako zidumu mama mchungaji
 
You go girl
fe1d58d8dd83646af59bac3bbc9ceb3f.jpg
Mungu ambariki sana ,na abariki kazi yake ifanikiwe tunamuombea
 
Lugha za Kibantu. Zinashirikiana mizizi na misingi mikuu ya kisarufi yakiwemo mabadiliko ya Kifonolojia na Kimofolojia. Ukopaji wa maneno kutoka lugha zingine ili kukidhi mahitaji ya wazungumzaji ndiyo kidogo huchanganya lakini kama ni neno lenye asili ya Kibantu basi mzizi wake utakuwa ni ule ule haijalishi kama hiyo lugha inazungumzwa Afrika Kusini, Cameroon, Kongo au Koromije. Mfano tiririkeni hapa neno kiatu linavyotamkwa katika lugha zenu tuone:

Kikoromije = gi-latu/shi-latu/ji-latu
Kiswahili = ki-atu
Kinyamwezi = shi-latu
Kichaga =
Kindali =
Kilingala =
.....
Kilingala-ekoto
 
Akiwa mke wangu ni sawa tu. Si nitakuwa nimemchagua mwenyewe? Maji ukiyavulia nguo ni lazima uyakoge hata kama ni ya moto/baridi balaa. Ndiyo maana kuna umuhimu wa kuyachunguza kwanza kabla hujaanza kuchojoa, siyo unachojoa tu kisa eti umeona maji na una hamu ya kukoga!
anaweza kuwa na mbwembwe huku lakini kwa mumewe ni Mpolee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom