Makapuku Forum

Makapuku Forum

Umepatia msukuma
Lugha za Kibantu. Zinashirikiana mizizi na misingi mikuu ya kisarufi yakiwemo mabadiliko ya Kifonolojia na Kimofolojia. Ukopaji wa maneno kutoka lugha zingine ili kukidhi mahitaji ya wazungumzaji ndiyo kidogo huchanganya lakini kama ni neno lenye asili ya Kibantu basi mzizi wake utakuwa ni ule ule haijalishi kama hiyo lugha inazungumzwa Afrika Kusini, Cameroon, Kongo au Koromije. Mfano tiririkeni hapa neno kiatu linavyotamkwa katika lugha zenu tuone:

Kikoromije = gi-latu/shi-latu/ji-latu
Kiswahili = ki-atu
Kinyamwezi = shi-latu
Kichaga =
Kindali =
Kilingala =
.....
 
Lugha za Kibantu. Zinashirikiana mizizi na misingi mikuu ya kisarufi yakiwemo mabadiliko ya Kifonolojia na Kimofolojia. Ukopaji wa maneno kutoka lugha zingine ili kukidhi mahitaji ya wazungumzaji ndiyo kidogo huchanganya lakini kama ni neno lenye asili ya Kibantu basi mzizi wake utakuwa ni ule ule haijalishi kama hiyo lugha inazungumzwa Afrika Kusini, Cameroon, Kongo au Koromije. Mfano tiririkeni hapa neno kiatu linavyotamkwa katika lugha zenu tuone:

Kikoromije = gi-latu/shi-latu/ji-latu
Kiswahili = ki-atu
Kinyamwezi = shi-latu
Kichaga =
Kindali =
Kilingala =
.....
Kindali = kibatu
 
119db50c99b43561e8e14a9efe214f62.jpg
 
Lugha za Kibantu. Zinashirikiana mizizi na misingi mikuu ya kisarufi yakiwemo mabadiliko ya Kifonolojia na Kimofolojia. Ukopaji wa maneno kutoka lugha zingine ili kukidhi mahitaji ya wazungumzaji ndiyo kidogo huchanganya lakini kama ni neno lenye asili ya Kibantu basi mzizi wake utakuwa ni ule ule haijalishi kama hiyo lugha inazungumzwa Afrika Kusini, Cameroon, Kongo au Koromije. Mfano tiririkeni hapa neno kiatu linavyotamkwa katika lugha zenu tuone:

Kikoromije = gi-latu/shi-latu/ji-latu
Kiswahili = ki-atu
Kinyamwezi = shi-latu
Kichaga =
Kindali =
Kilingala =
.....
Kindali : chilato
 
Lugha za Kibantu. Zinashirikiana mizizi na misingi mikuu ya kisarufi yakiwemo mabadiliko ya Kifonolojia na Kimofolojia. Ukopaji wa maneno kutoka lugha zingine ili kukidhi mahitaji ya wazungumzaji ndiyo kidogo huchanganya lakini kama ni neno lenye asili ya Kibantu basi mzizi wake utakuwa ni ule ule haijalishi kama hiyo lugha inazungumzwa Afrika Kusini, Cameroon, Kongo au Koromije. Mfano tiririkeni hapa neno kiatu linavyotamkwa katika lugha zenu tuone:

Kikoromije = gi-latu/shi-latu/ji-latu
Kiswahili = ki-atu
Kinyamwezi = shi-latu
Kichaga =
Kindali =
Kilingala =
.....
Ikilatu

cc Mndali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom