Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Haaah ndo umejifunza kwa mondraykaribu tu-pm
Haaah ndo umejifunza kwa mondraykaribu tu-pm
Lugha za Kibantu. Zinashirikiana mizizi na misingi mikuu ya kisarufi yakiwemo mabadiliko ya Kifonolojia na Kimofolojia. Ukopaji wa maneno kutoka lugha zingine ili kukidhi mahitaji ya wazungumzaji ndiyo kidogo huchanganya lakini kama ni neno lenye asili ya Kibantu basi mzizi wake utakuwa ni ule ule haijalishi kama hiyo lugha inazungumzwa Afrika Kusini, Cameroon, Kongo au Koromije. Mfano tiririkeni hapa neno kiatu linavyotamkwa katika lugha zenu tuone:Umepatia msukuma
Uwekaji wa nini? Ni staili gani hiyo?Ahsante Mr & Mrs lee empire .....staili yako ya uwekaji naipenda![]()
eeee bhanaHaaah ndo umejifunza kwa mondray
Ikyindi kakaPamoja dada
umsugu kulwaki pamsi
Kindali = kibatuLugha za Kibantu. Zinashirikiana mizizi na misingi mikuu ya kisarufi yakiwemo mabadiliko ya Kifonolojia na Kimofolojia. Ukopaji wa maneno kutoka lugha zingine ili kukidhi mahitaji ya wazungumzaji ndiyo kidogo huchanganya lakini kama ni neno lenye asili ya Kibantu basi mzizi wake utakuwa ni ule ule haijalishi kama hiyo lugha inazungumzwa Afrika Kusini, Cameroon, Kongo au Koromije. Mfano tiririkeni hapa neno kiatu linavyotamkwa katika lugha zenu tuone:
Kikoromije = gi-latu/shi-latu/ji-latu
Kiswahili = ki-atu
Kinyamwezi = shi-latu
Kichaga =
Kindali =
Kilingala =
.....
Hongera Mkuu maana mda si mrefu tungeanza kuwaita samaki

mamboPoa naendlea msubiri
Sawa mkuueeee bhana
Akiwa mke wangu ni sawa tu. Si nitakuwa nimemchagua mwenyewe? Maji ukiyavulia nguo ni lazima uyakoge hata kama ni ya moto/baridi balaa. Ndiyo maana kuna umuhimu wa kuyachunguza kwanza kabla hujaanza kuchojoa, siyo unachojoa tu kisa eti umeona maji na una hamu ya kukoga!Akiwa mkeo vipi?
Kindali : chilatoLugha za Kibantu. Zinashirikiana mizizi na misingi mikuu ya kisarufi yakiwemo mabadiliko ya Kifonolojia na Kimofolojia. Ukopaji wa maneno kutoka lugha zingine ili kukidhi mahitaji ya wazungumzaji ndiyo kidogo huchanganya lakini kama ni neno lenye asili ya Kibantu basi mzizi wake utakuwa ni ule ule haijalishi kama hiyo lugha inazungumzwa Afrika Kusini, Cameroon, Kongo au Koromije. Mfano tiririkeni hapa neno kiatu linavyotamkwa katika lugha zenu tuone:
Kikoromije = gi-latu/shi-latu/ji-latu
Kiswahili = ki-atu
Kinyamwezi = shi-latu
Kichaga =
Kindali =
Kilingala =
.....
Sawa dadaIkyindi kaka
Asante kwa leo katika historia bora kabisa mkuu diktetaLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Wewe utakuwa na asili ya bahati mbaya na lugha za watuKindali = kibatu
Jambo kijanaAsante kwa leo katika historia bora kabisa mkuu dikteta
IkilatuLugha za Kibantu. Zinashirikiana mizizi na misingi mikuu ya kisarufi yakiwemo mabadiliko ya Kifonolojia na Kimofolojia. Ukopaji wa maneno kutoka lugha zingine ili kukidhi mahitaji ya wazungumzaji ndiyo kidogo huchanganya lakini kama ni neno lenye asili ya Kibantu basi mzizi wake utakuwa ni ule ule haijalishi kama hiyo lugha inazungumzwa Afrika Kusini, Cameroon, Kongo au Koromije. Mfano tiririkeni hapa neno kiatu linavyotamkwa katika lugha zenu tuone:
Kikoromije = gi-latu/shi-latu/ji-latu
Kiswahili = ki-atu
Kinyamwezi = shi-latu
Kichaga =
Kindali =
Kilingala =
.....