Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Karibu maji ya kunywaAsante, sasa nipo
Karibu maji ya kunywaAsante, sasa nipo
Ila saa saba matokeo yanapatikanaNi kweli mama mchungaji
Wacha nijitetee
Sio kila siku nipo mpirani mama
All the time God is good
hahaha kesho au kesho kutwa anarudi mama mchuchu![]()
![]()
Lee aje jamani
Sio mvua alisema eti mafurikoShunie amesema hakuna mvua wapi?
Anachunga mbuzi ikwiririAu yuko porini
Sihitaji kwa sasa, bado nipo masomoni
All the time God is good



geisha oyeeeeAsante kwa neno mama mtumishiHii ni kweli kabisa ,tuwe waangalifu sana na mawasiliano,mahusiano na wanawake kimya kinaweza kuwa furaha au huzuni hata biblia imeandikwa so ni kanuni ya kibiblia ukiifuata hutapata tabu
1 PETRO 3
7 .Kadhalika enyi waume kaeni na wake zenu kwa akili na kumpa mke heshima.....
hahahaChuo cha Bible
Kwao mabiboShunie amesema hakuna mvua wapi?
Kuchunga mbuzihahhahah porini kaenda kufanya nn
AiseeMen will always be men! Yaani kama vile tumerogelezewa![]()
![]()
![]()
hahah sikai mabibo mmKwao mabibo
Utaua machoAu utumie simu kuangalia mechi online
All the time God is good
Nashukuru nna mke mwee wa ukweliShunie atakutambulisha taratibu tu

Mi najua mafuriko yanatokana na mvuaSio mvua alisema eti mafuriko
nani kamwambia aende porini na wakati aliambiwa anilinde mm na boss wakeKuchunga mbuzi
Tafakari Pana sanaUnabaki unatafakari hivi ndio huu ubavu wangu pekee au tumechangia kutoa ubavu......
Mwisho wa siku huna budi kutazama tu
All the time God is good
huku nilipo mvua inanyesha mafuriko hamnaMi najua mafuriko yanatokana na mvua
karibu kipenziNashukuru nna mke mwee wa ukweli![]()
Aaah dada unaka vingunguti au manzesehahah sikai mabibo mm