Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hii ni kweli kabisa ,tuwe waangalifu sana na mawasiliano,mahusiano na wanawake kimya kinaweza kuwa furaha au huzuni hata biblia imeandikwa so ni kanuni ya kibiblia ukiifuata hutapata tabu

1 PETRO 3

7 .Kadhalika enyi waume kaeni na wake zenu kwa akili na kumpa mke heshima.....
Asante kwa neno mama mtumishi
 
Men will always be men! Yaani kama vile tumerogelezewa
fff9ef34917566fec490f0af6bed7f1b.jpg
8529c63dc772785a22b621317c5fada1.jpg
Aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom