BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Tanzania wakipewa hiyo nafasi..nina mashaka
watasema kazi ya wanawake tuwaombee wanaume kwakweliTanzania wakipewa hiyo nafasi..nina mashaka
watasema kazi ya wanawake tuwaombee wanaume kwakweliNashukuru naendlea kuwafahamuhuyo shemeji yako pia yaan humu wanaume wote ni shemeji zako
Haya kaka akeHujachemka ila ulitaka kutamka kama walambya
Hakika Mungu atusaidie kutumia hekima wakati wa changamoto
Zikaushwe vizuri lakini,au tutakula fungus which is dangerous
Wapi hukoTanesco tangu jana saa 5 usiku walivyokata umeme mpaka sasa bado hajarudi na taarifa hamna
AmenAsante kiongozi tuko pamoja
Nimeshapoa shem wanePole na kazi shemeji
Wengi tutapata high blood preasure
Ok,inabidi tuanze kununua
I see sikujua,so kupata watoto katika utu uzima ni kitu kizuri
Kumbe!!kama nimeelewa kaniudhi
Sihitaji kwa sasa, bado nipo masomoniChaplin hutaki Chuma???


