Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
shemela ni nini lkn mtto wa watu hana raha toka jana anakuuliziaAsante kwa leo katika historia bora kabisa mkuu dikteta
shemela ni nini lkn mtto wa watu hana raha toka jana anakuuliziaAsante kwa leo katika historia bora kabisa mkuu dikteta
Vumilia mkuu tuko tangazagiza wenzetu TanzaniaTanesco tangu jana saa 5 usiku walivyokata umeme mpaka sasa bado hajarudi na taarifa hamna
Aiseee pole sanaTanesco tangu jana saa 5 usiku walivyokata umeme mpaka sasa bado hajarudi na taarifa hamna
Pole shunie kaniambia hamna mvuaJambo sana, mvua sana mpaka nimeshindwa kwenda mjini
Afadhali unsaidie kumwambia mke mweeeshemela ni nini lkn mtto wa watu hana raha toka jana anakuulizia
Msukuma wako mbishi huyo laivu kutoka Koromije. Nafurahi kwamba nakufurahisha mpaka unafurahi!
huyo shemeji yako pia yaan humu wanaume wote ni shemeji zakoNko poa kwan na ww ni ndgu yke shululu
Hujachemka ila ulitaka kutamka kama walambyaUwiii kumbe nmechemka![]()
![]()
hahahha unanifurahisha sanaMsukuma wako mbishi huyo laivu kutoka Koromije. Nafurahi kwamba nakufurahisha mpaka unafurahi!
Weee mi kakakehuyo shemeji yako pia yaan humu wanaume wote ni shemeji zako
Mm mke mwenzie kingineWeee mi kakake
Mmmh kwahiyo hata mndengereko na mbena utamtofaitisha...mmh!haya
Asante sana haya mambobni mazuri ubarikiweKwa udhamini wa SHIMBA YA BUYENZE nimefikia tamati kwa leo.![]()
Tukutane kwenye ratiba ya michezo
Inauma sana ni uuaji kamiliinasikitisha sana mama kumtupa mwanae, ndio maana Mungu huwaweka hai mpaka ashuhudie mafanikio ya mwanae na kujutia kitendo alichokifanya hapo kabla.![]()
Tunakushukuru sana kwa kujitoa kwetu Mungu akubarikiKipindi changu rasmi ni TOP TEN(Jumatatu hadi Ijumaa Jioni/usiku)
Vingine huwa nabuni na kuvileta kutegemeana na muda unavyoruhusu maana kuandika mada/makala inahitaji muda na umakini mkubwa
...............
shedede hajaingia toka janaJamani Shedede wapi? Kapewa mke hapa lakini kimyaaa! Ajabu hata mke naye kapotea. Au honeymoon imekolea? Shunie toa ufafanuzi please...
Watoto wanaonyonya vidole huwa ni wapole sana utotoni unaweza mlaza njaa maana wanajifariji sana,nina mtoto mmoja alinyonya vidole na mjukuu mmoja ananyonya ni wa kuwafuatilia sana kuhusu kula,kumbadilisha na kumpa faraja unaweza chukulia kashiba kumbe anajipa faraja na kunyonya.
