Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Dada gwagonaHakika Mungu atusaidie kutumia hekima wakati wa changamoto
PoleNimeshapoa shem wane
TANESCO wanasumbua sana
All the time God is good
sawa shem wangeHapana hawaonyeshi
All the time God is good
Asante sana mkuu. Maarifa hayana mwisho na asante kwa kutuelimisha!Kwa udhamini wa SHIMBA YA BUYENZE nimefikia tamati kwa leo.![]()
Tukutane kwenye ratiba ya michezo
Wewe utakuwa na asili ya bahati mbaya na lugha za watu
PengineMmmh kwahiyo hata mndengereko na mbena utamtofaitisha...mmh!haya
Asante sana haya mambobni mazuri ubarikiwe
Hakika mamaInauma sana ni uuaji kamili
Watoto wanaonyonya vidole huwa ni wapole sana utotoni unaweza mlaza njaa maana wanajifariji sana,nina mtoto mmoja alinyonya vidole na mjukuu mmoja ananyonya ni wa kuwafuatilia sana kuhusu kula,kumbadilisha na kumpa faraja unaweza chukulia kashiba kumbe anajipa faraja na kunyonya.
Kumbe hata tembo...Mungu ni mkubwa![]()
TutawezaTanzania wakipewa hiyo nafasi..nina mashaka![]()
![]()
watasema kazi ya wanawake tuwaombee wanaume kwakweli
Hakika Mungu atusaidie kutumia hekima wakati wa changamoto
Natumai zikiwa zimehifadhiwa mahali salama ndio zitaishi kwa muda huoZikaushwe vizuri lakini,au tutakula fungus which is dangerous
Ni kweli mama mchungajiWengi tutapata high blood preasure
Cc Obe wakati wa kuleta nyuzi
SHIMBA YA BUYENZE
NYAGEI..SPOTRS NA KUANGALIA MPIRA
MIMI ..KUSALI USIKU
TUONGEZE MASAA YA KULALA
Hii ni kweli kabisa ,tuwe waangalifu sana na mawasiliano,mahusiano na wanawake kimya kinaweza kuwa furaha au huzuni hata biblia imeandikwa so ni kanuni ya kibiblia ukiifuata hutapata tabu
1 PETRO 3Ila sio nzuri sana kwa watotoOk,inabidi tuanze kununua