Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Asante kwa leo ktk historiaLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Asante kwa leo ktk historiaLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Hongera kwa jimbo la Minnesota kitambo wenzetu walikua mbaliLeo Katika Historia:
1858 - Minnesota yawa jimbo la 32 nchini Marekani.
Nakushtaki kwa masheji Nyagei na WerrasonSikuachii nimesema
RIP Luteni Kanali Adolf Eichman1960 - Huko Argentina: Makachero wanne wa Shirika la Upelelezi la Mossad la nchini Israel wanamkamata Luteni Kanali Adolf Eichman wa Jeshi la Nazi la Kijerumani aliyekuwa anaishi mafichoni huku akitumia jina la Ricardo Klement.
Adolf Eichman ni mmoja ua makamanda katika jeshi la Nazi la Hitler lililohusika na Mauaji ya Maelfu ya Wayahudi.
Eichman alienda kunyongwa kama hukumu baada ya kupatikana na hatia.
1984 - Andres Iniesta anazaliwa.
Kiungo mshambuliaji Barcelona na timu ya taifa ya Spain.
Mmoja kati ya viungo bora kabisa kuwahi kutokea katika uso wa Dunia. Kombinesheni yake na Xavi Hernandez ilikuwa ya kusisimua na iliyowaacha wapinzani wasijue wamkabe yupi wamuache yupi.
Ni mfungaji wa goli pekee lililoipa Spain kombe la Dunia mwaka 2010 pale Afrika ya Kusini.
Ni mmoja kati ya wachezaji wachache duniani ambao wameshinda kila kombe kwa ngazi ya vilabi na timu ya taifa.
Naona nembo yao inaashiria kilimo
RIP Robert Nesta Marley BOB Marley hakika hausauliki uko mioyoni mwa wengi1981 - Mwanamuziki mashuhuri wa Regge na Mwanaharakati kutoka Jamaica, Robert Nesta ' Bob ' Marley anafariki Dunia.
Mmoja kati ya watu maarufu katika karne ya 20.
Alifariki kutokana na kansa. Aliacha watoto 13 kutoka kwa mama watatu.
Alizikwa kitaifa siku 10 baadae huko Kingston, Jamaica.
Alifariki akiwa na miaka 36, na kuwa mmoja kati ya watu maarufu kufariki kabla ya kufikisha miaka 50.
Pamoja na kwamba leo ni miaka 36 toka afariki lakini bado amebakia kuwa maarufu utadhani amefariki mwaka jana.

Bwana apewe sifaSiku nyingi sana ,kulikua na maslahi
Nakushtaki kwa masheji Nyagei na Werrason

RIP Nnamdi Azikiwe..nakumbuka hata mtaa wa Azikiwe hapo Posta uko named after yeye Tanzania inamuenzi1996 - Nnamdi Azikiwe anafariki Dunia.
Ni Rais wa kwanza wa Nigeria.
Kwa heshina yake, kuna mtaa hapa Dar Es Salaam umepewa jina lake kama kumuenzi, mtaa wa Azikiwe.
Kifo kigumu![]()
![]()
![]()
Bora hata Joseph Goebbels akiamua kujiua baada ya kuzingirwa kuliko kuaibishwa na kutundikwa kama paka
...
..
1986 - Abou Diaby anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa.
Alitabiriwa kama Patrick Vieira mpya wa Arsenal lakini alishindwa kufikia malengo yake kutokana na majeruhi kibao yaliyomuandama.
Mmmh Mungu wangu ni Moto mkubwa![]()
![]()
Ni bahati mbaya au hujuma?
......
Asante mkuu Mussolin5 kwa historia ubarikiwe.Leo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
RIP Nnamdi Azikiwe..nakumbuka hatabmtaa wa Azikiwe uko named after yeye Tanzania inamuenzi
kuuumbe!!!! Sikujua kuwa jina LA ule mtaa ni LA raisMarahaba za asubuhi ubarikiweShikamoo mama Mchungaji

Pole yake![]()
![]()
![]()
Nafikiri mpira wake mwingi ameuchezea hospitalini maana ni miongoni mwa wachejazi ambao ni mabingwa wa kutumia hata kwa matukio ya kawaida tu
Mwingine ni Jack Wilshere
..........
1989 - Giovani Dos Santos anazaliwa.
Winga wa zamani wa Barcelona, Toylttenham, Villareal ambaye kwa sasa anachezea LA Galaxy na timu ya taifa ya Mexico.
Mmoja kati ya wachezaji wenye vipaji maridhawa kutoka Akademi ya La Masia ya Barcelona.
Mpaka leo wachambuzi wa soka wanashindwa kujua ni kwanini Dos Santos alipotea kwenye soka mapema sana licha ya kipaji cha hali ya juu alichobarikiwa.
Tuntufye MwaosamaTuntufye au Mwakipesile
