Makapuku Forum

Makapuku Forum

1981 - Mwanamuziki mashuhuri wa Regge na Mwanaharakati kutoka Jamaica, Robert Nesta ' Bob ' Marley anafariki Dunia.

Mmoja kati ya watu maarufu katika karne ya 20.

Alifariki kutokana na kansa. Aliacha watoto 13 kutoka kwa mama watatu.

Alizikwa kitaifa siku 10 baadae huko Kingston, Jamaica.

Alifariki akiwa na miaka 36, na kuwa mmoja kati ya watu maarufu kufariki kabla ya kufikisha miaka 50.

Pamoja na kwamba leo ni miaka 36 toka afariki lakini bado amebakia kuwa maarufu utadhani amefariki mwaka jana.
R.I.P. Robert Nesta Marley
 
e88bbf9648e04519dcb5e7e972bbbf12.jpg
5e60ffff6b3b17b8ce413f16ed30f427.jpg
3d5c819bcf8d55153674f5eae08155c3.jpg

Nafikiri mpira wake mwingi ameuchezea hospitalini maana ni miongoni mwa wachejazi ambao ni mabingwa wa kutumia hata kwa matukio ya kawaida tu
Mwingine ni Jack Wilshere
..........
Pole yake masikini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom