Makapuku Forum

Makapuku Forum

Email nitatuma kwako kisha wewe una-apply nae maisha yanaenda.

Uzungu ulipita kushoto

Vimbau mbau ndio interest yangu nawe mizigo ya haja ndio interest yako basi sawa
Unaonaje nawe nikianza kukushauri uvianzishie diet hivyo vimbaumbau vyako ili angalau vijazie nyama nyama kidogo? Katika jamii nyingi za Kiafrika mafupa tupu ni dalili ya ubovu wa afya ati!

Good night mkuu. Mungu Akipenda basi tusemeshane kesho. Ubarikiwe!
 
1960 - Huko Argentina: Makachero wanne wa Shirika la Upelelezi la Mossad la nchini Israel wanamkamata Luteni Kanali Adolf Eichman wa Jeshi la Nazi la Kijerumani aliyekuwa anaishi mafichoni huku akitumia jina la Ricardo Klement.

Adolf Eichman ni mmoja ua makamanda katika jeshi la Nazi la Hitler lililohusika na Mauaji ya Maelfu ya Wayahudi.

Eichman alienda kunyongwa kama hukumu baada ya kupatikana na hatia.
 
1984 - Andres Iniesta anazaliwa.

Kiungo mshambuliaji Barcelona na timu ya taifa ya Spain.

Mmoja kati ya viungo bora kabisa kuwahi kutokea katika uso wa Dunia. Kombinesheni yake na Xavi Hernandez ilikuwa ya kusisimua na iliyowaacha wapinzani wasijue wamkabe yupi wamuache yupi.

Ni mfungaji wa goli pekee lililoipa Spain kombe la Dunia mwaka 2010 pale Afrika ya Kusini.

Ni mmoja kati ya wachezaji wachache duniani ambao wameshinda kila kombe kwa ngazi ya vilabi na timu ya taifa.
 
1989 - Giovani Dos Santos anazaliwa.

Winga wa zamani wa Barcelona, Toylttenham, Villareal ambaye kwa sasa anachezea LA Galaxy na timu ya taifa ya Mexico.

Mmoja kati ya wachezaji wenye vipaji maridhawa kutoka Akademi ya La Masia ya Barcelona.

Mpaka leo wachambuzi wa soka wanashindwa kujua ni kwanini Dos Santos alipotea kwenye soka mapema sana licha ya kipaji cha hali ya juu alichobarikiwa.
 
Leo Katika Historia:

1858 - Minnesota yawa jimbo la 32 nchini Marekani.
0be7ef34b042999eea5a28752bc230b5.jpg
541b05f6ad12b30beab08e01b8e5ad6e.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom