Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
unamtaka binamu uwe unaburudishwa na good music au shedede binamu anajua kulea mtu mzima huyo eb jibu ringaa kama kawaida yako wakichukuliwa ulie ulieOk dear![]()
unamtaka binamu uwe unaburudishwa na good music au shedede binamu anajua kulea mtu mzima huyo eb jibu ringaa kama kawaida yako wakichukuliwa ulie ulieOk dear![]()
Yuko wapi nowadays.....Kwanini mchezaji akifananishwa na nguli flani huwa anapotea???1986 - Abou Diaby anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa.
Alitabiriwa kama Patrick Vieira mpya wa Arsenal lakini alishindwa kufikia malengo yake kutokana na majeruhi kibao yaliyomuandama.
Aisee masikini Marley R.i.p![]()
![]()
![]()
Kansa yake ilisababishwa na kidole cha mguuni alichoumia wakati akicheza soka
Madaktari walimshauri akubali kufanyiwa operesheni kukiondoa lakini akakataa kutokana na Imani yake ya Urastafarah matokeo yake kansa ikasambaa na kusababisha kifo chake
"I'll shoot a tariff"
.........
hahahha asante binamu...bila kunisahau na mimi mpwa wenu.
Asante kwa magazeti Shunie
umeamkaje mke mwee naona shemela kabanwa na majukumu masikiniMorning mke mweee
ubarikiwe karibu tenaasante kwa historia
asante kwa magazeti
cc: mussolin
cc: shunii
Tuliza ball, kwa Shululu umelamba Dume.....usijibizane na mtu.....potezea kama hujaonaNakushtaki kwa masheji Nyagei na Werrason
shululu ni wako tumosa hakuna wa kukuingiliaBora aniachie Shululu wangu
Woyoooooooo in baba mchuchu's voiceTuliza ball, kwa Shululu umelamba Dume.....usijibizane na mtu.....potezea kama hujaona
Aliua Wayahudi wa kutosha!!!RIP Luteni Kanali Adolf Eichman
Morning husna.....hebu badili hiyo avatar ya huzuniMorning too papaa
Alimwekea Daby alivyomuachaMorning husna.....hebu badili hiyo avatar ya huzuni
Tariff-Sheriff![]()
![]()
![]()
Kansa yake ilisababishwa na kidole cha mguuni alichoumia wakati akicheza soka
Madaktari walimshauri akubali kufanyiwa operesheni kukiondoa lakini akakataa kutokana na Imani yake ya Urastafarah matokeo yake kansa ikasambaa na kusababisha kifo chake
"I'll shoot a tariff"
.........
Morning shem, hope uko byeeMorning shemela
Obe ako singoSafi za wewe?

Powa amigohabari za asubuhi amigos
Natumai umeamka salama mkuu from call me JayUnaonaje nawe nikianza kukushauri uvianzishie diet hivyo vimbaumbau vyako ili angalau vijazie nyama nyama kidogo? Katika jamii nyingi za Kiafrika mafupa tupu ni dalili ya ubovu wa afya ati!
Good night mkuu. Mungu Akipenda basi tusemeshane kesho. Ubarikiwe!
Hiyo avatar yako bhana!!!morning!

...hizi lugha zapicha/emoji naona unazipenda sana nakuna mtu kaanza kuzipenda pia
