Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ratiba ya mechi za leo inakujieni kama ifuatavyo
073cf1015f5835849303809962681ccf.jpg

All the time God is good
 
1/Anglo--Zanzibar War 1896
b533404bbfabf65cad6537c1ae066142.jpg
eb32dbbdfcb2617a2692fc88f4aec779.jpg

Hii vita ilikuwa baina ya Waingereza na Sultan Khalid Barghash ambaye alichukua uongozi kufuatia kifo cha binamu yake
Waingereza walimpa masaa 24 aachie ngazi lakini akagoma hivyo Waingereza wakapeleka wanajeshi na meli zao za kivita na kuanza kuishambulia Z'bar
Ndani ya dakika 38 pekee Sultan akashindwa vita
Vita Hii ilisababisha vifo na majeruhi wa Kuzanzibar 500 wakati ni mwingereza mmoja pekee aliyejeruhiwa...pia boti mbili zilizama
.
.
.
.
.shukrani mliofuatilia mada
Tukutane kesho
Mwisho
................
Japo sikuwapo nimeisoma nimeifurahia ubarikiwe mkuu Bitoz,kazi yako ni njema
 
ZABURI 116
1.Haleluya,Nampenda BWANA kwa kuwa anansikiliza sauti yangu na dua zangu.

2.Kwa maana amenitegea sikio lake,Kwa hiyo nitamwita siku zangu zote.

3.Kamba za mauti zilinizunguka,Shida za kuzimu zilinipata,Naliona tabu na huzuni.

4.Nikaliita jina la BWANA ,Ee BWANA ,nakuomba sana ,uniokoe nafsi yangu.

5.BWANA ni mwenye neema na haki,Naam ,Mungu wetu ni mwenye rehema.

6.BWANA huwalinda wasio na hila,Nalidhilika akaniokoa.

7.Ee nafsi yangu urudi rahani mwako,Kwakuwa BWANA amekutendea ukarimu.

8.Maana umeniponya nafsi yangu na mauti,Macho yangu na machozi Na miguu kuanguka

9.Nitaenenda mbele za BWANA katika nchi ya waliohai.

10.Naliamini ,kwa maana nitasema Mimi naliteswa sana

11 Mimi nalisema kwa haraka yangu wanadamu wote ni waongo

12 Nimrudishie BWANA nini kwa ukarimu wake wote alionitendea?

13 Nitaipokea kikombe cha wokovu;Na kulitangaza jina la BWANA,

14 .Nitaziondoa nadhiri zangu kwa BWANA,Naam ,mbele za watu wake wote.

15.Ina thamani machoni pa BWANA mauti ya wacha Mungu wake

16 Ee BWANA ,hakika mimi ni mtumishi wako,Mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako,umevifungua vifungo vyangu .

17.Nitakutolea dhabihu ya kushukuru ;Na kulitangaza jina la BWANA.

18.Nitaziondoa nadhiri zangu kwa BWANA ,Naam ,mbele ya watu wake wote.

19.Katika nyua za nyumba ya BWANA ,ndani yako ,Ee Yerusalemu.


Wapendwa nashukuru sana Mungu ameniponya ,nawashukuru kwaupendo, maombi na kunijali haikua rahisi ila Mungu amenitendea makuu kwa maombi yenu.


MBARIKIWE SANA SANA,NAWAPENDA MUWE NA SIKU NJEMA YENYE MAFANIKIO
Amen ubarikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom