Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
NimekaribiaKaribu![]()
NimekaribiaKaribu![]()
Ubarikiwe dada1 WATHESALONIKE 5
16. Furahini siku zote.
17.Ombeni bila kukoma .
18.Shukuruni kwa kila jambo;maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Yesu Kristo.
19.Msimzimishe Roho.
20. Msitweze unabii.
21.Jaribuni mambo yote ;lishikeni lililo jema.
22.Jitengeni na ubaya wa kila namna.
![]()
![]()
AmenKama unavyomwona, ukiwa na Yesu LAHA sana![]()
Ulitaka mwezi upi
Good afternoon MndaliAmen ubarikiwe
Yupo amejitokeza Jana kasema tunamnyanyasaNani???
Binamu yako umemsahauSio kwamba sitaki kuwatambua kwa majina makapuku wengine, la. Napenda tu kumtakia BlessedHope usomaji mwema wa magazeti.
Na wengine msome magazeti vizuri
Nyoka mzee pamoja sanaAsante kwa magazeti Shululu
Maana kila asubuhi lazima nipite huku kwa ajili ya magazeti kisha ndo niendelee na Ratiba zingine
Kaileta mondrayHahahaha Shunie mbona hii habari ngeni?ameniona wapi?hatari
Anayeyusha kiporo..mbio asubuhi hii si utanukisha kikwapa kabla jua halijachanganya! 🙂