Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,929
Sebho gwaghona

Sebho gwaghona

Papa mzimaThanks Bitoz![]()
Ndio maana ni jeuri sana Israel3/6 Day War 1967![]()
![]()
![]()
Hii vita ilipiganwa baina ya Israel dhidi ya Syria,Misri,Jordan & Iraq
Israel ilipeleka wana jeshi 100000 katika mpaka wa Syria hivyo Waarabu wa nchi hizo 4 wakaungana na kupigana vita kwa siku 6
Mwisho Israel akashinda na kujichukulia mji wa Jerusalem na Ukanda wa Gaza
........
Ni mdogoake Mama MchungajiBaba mchungaji katika ubora wake
Shikamoo
All the time God is good

Ooh oohWe sema hivyo bora mi na biashara zangu sio sawa na wauza vidudu
Sasa ni muda wa kutulia uletewe kinywajiNashukuru,nashangaa nmedakwa na maswali juu juu kabla hata ya kukaa au ndo ikarimu wenyewe
Kwi Kwi kwiiiiiShem wange Nyagei ukuje si ulisema umeokoka wewe nimekukuta mitaa ya kati huko kwa a wakubwa unatoa macho![]()
Nilipeleka nenoAaah dada hujamtendea haki nyagei
Shukrani mkuu kwa top ten mubashara1/Anglo--Zanzibar War 1896![]()
![]()
Hii vita ilikuwa baina ya Waingereza na Sultan Khalid Barghash ambaye alichukua uongozi kufuatia kifo cha binamu yake
Waingereza walimpa masaa 24 aachie ngazi lakini akagoma hivyo Waingereza wakapeleka wanajeshi na meli zao za kivita na kuanza kuishambulia Z'bar
Ndani ya dakika 38 pekee Sultan akashindwa vita
Vita Hii ilisababisha vifo na majeruhi wa Kuzanzibar 500 wakati ni mwingereza mmoja pekee aliyejeruhiwa...pia boti mbili zilizama
.
.
.
.
.shukrani mliofuatilia mada
Tukutane kesho
Mwisho
................
Wacha apige tuKuna mlinzi anakuja huyu shululu analinda kwa kamera yupo mzee wa virungu

Dah aiseeWe sema hivyo bora mi na biashara zangu sio sawa na wauza vidudu
Pamoja sana wakuuShukrani mkuu kwa top ten mubashara
All the time God is good
Thanks Bitoz![]()
Umeshapata kinywaji mgeniNashukuru mkuu na mm nmejiunga na familia hii
Umeshapata kinywaji mgeni?Nashukuru mkuu na mm nmejiunga na familia hii
na ninavyopenda kufurahi sasa kaka akeeSawa dada we furahi uongeze miaka ya kuishi
hahahhh kwa nn kakaAaah dada hujamtendea haki nyagei
Asante Bitoz kwa top 10 ubarikiwe sana1/Anglo--Zanzibar War 1896![]()
![]()
Hii vita ilikuwa baina ya Waingereza na Sultan Khalid Barghash ambaye alichukua uongozi kufuatia kifo cha binamu yake
Waingereza walimpa masaa 24 aachie ngazi lakini akagoma hivyo Waingereza wakapeleka wanajeshi na meli zao za kivita na kuanza kuishambulia Z'bar
Ndani ya dakika 38 pekee Sultan akashindwa vita
Vita Hii ilisababisha vifo na majeruhi wa Kuzanzibar 500 wakati ni mwingereza mmoja pekee aliyejeruhiwa...pia boti mbili zilizama
.
.
.
.
.shukrani mliofuatilia mada
Tukutane kesho
Mwisho
................
Agombee jimbo sio kuchukua tuUnataka mondray aje achukue jimbo au aje kukaribisha mgeni