Makapuku Forum

Makapuku Forum

1884 - Harry S. Truman anazaliwa.

Alikuwa Rais wa 33 wa Marekani.

Ndiye Rais aliyeidhinisha kudondosha bomu la Nyuklia huko katika miji ya Nagasaki na Hiroshima.

Hiyo ni siku chache mara baada ya kukabidhiwa Urais kufuatia kifo cha Rais Roosevelt.

Rais Harry S. Truman, ni moja kati ya marais wenye vituko vya aina yake kwani ile initial S iliyopo katika jina lake haina maana yoyote ipo kama swaga tu.
329eb93245f398b21fdc65b6d9ea17a8.jpg
86541c61550999e4b813356ae6e663b8.jpg
6838d31b2d0a06f4921f73cbaf5aa1dd.jpg

Angekuwa mwafrika hadi leo angelaaniwa alichowafanyia Wajapan

.
.
Shukrani mkuu kwa historia
.......
 
521c11c72db569b45d02b75499c5f392.jpg
f3e9cb7317c351941943694e1051b43f.jpg
ded34ff415afb4c6af7d89ee0562f904.jpg
Nakutakia maisha marefu Mzee Mwingi
Mmoja kati ya viongozi wachache barani Afrika wasiojikweza..pia siyo mwobgeaji sana

Ndo Rais pekee ambaye ana mke zaidi ya mmoja hivyo wakati wa utawala wake nilikuwa na maFirst Lady wawili
Pia nasikia alikuwa hasaini kabisa adhabu ya kifo

Ndiye baba wa Hussein Mwinyi aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na JKT
...........
Mpaka sasa ni waziri wa ulinzi
 
NUKUU YA LEO

I've always wanted to race cars, ever since I was a young boy, as I think a lot of guys have.

Kila mara huwa nataka niendeshe magari, hii ni toka nikiwa mdogo, kama ninavyofikiri kwamba kila kijana anataka



Haya maneno yalipatwa kusemwa na Muigizaji wa kimarekani Paul William Walker.

Paul Walker alizaliwa Tar. 12/09/1973 jijini California nchini marekani.


Paul walker alifariki kwa ajali ya gari tar 30 /11/2013 akiwa na mshkaji wake Roger Rodas..

Gari yao ilikuwa inakimbia speed ya kawaida ya 72km/hr

Walker atakumbukwa kwa filamu zake nyingi moja ikiwa ni Fast and Furious.
b9a6dd90a2828540f61a5218ada74af3.jpg
85680865dd8d009bdb363c82164b7c0b.jpg


Morning wakuu..

wakuu Nukuu za week hii zitakuwa simple..nashindwa kuweka nyama manake niko safarini..Muwe na siku njema
Namkumbuka sana huju jamaa
Kwenye ile muvi
Nasikia picha yake ya mwisho kupost FB inaongoza kwa likes

.
.
Shukrani mkuu kwa segment kuntu
..........
.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom