Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

1901 - Chama cha siasa cha Labor chaanzishwa huko Australia.
a2bc50db5f590b260beddae704de9945.jpg
d7194f8aa71d4b677a68880c8062f6eb.jpg

Vyama vya wafanyakazi vina ushawishi mkubwa duniani note
Kwa kulogindua hilo serikali kila mwaka inapandikiza vibaraka wao kwenye uongozi ambao kamwe hawatetei maslahi ya wafanyakazi
.......
 
1925 - Ali Hassan Mwinyi anazaliwa.

Ni Rais wa awamu ya pili ya Tanzania.

Pia amewahi kuwa Rais wa awamu ya tatu ya Zanzibar baada ya kujiuzulu kwa Rais Aboud Jumbe.

Maarufu kama Mzee Ruksa. Ndio Rais pekee wa Zanzibar ambaye si mzaliwa wa Zanzibar kuiongoza nchi hiyo.

Mwinyi ni mzaliwa wa Kisarawe mkoani Pwani.
521c11c72db569b45d02b75499c5f392.jpg
f3e9cb7317c351941943694e1051b43f.jpg
ded34ff415afb4c6af7d89ee0562f904.jpg
Nakutakia maisha marefu Mzee Mwingi
Mmoja kati ya viongozi wachache barani Afrika wasiojikweza..pia siyo mwobgeaji sana

Ndo Rais pekee ambaye ana mke zaidi ya mmoja hivyo wakati wa utawala wake nilikuwa na maFirst Lady wawili
Pia nasikia alikuwa hasaini kabisa adhabu ya kifo

Ndiye baba wa Hussein Mwinyi aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na JKT
...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom