Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
ShukraniAsante Nyagei kwa kuperuz
ShukraniAsante Nyagei kwa kuperuz
Katibu mkuu wa niniHakuna marudio hapo Katibu mkuu
Kazi nzuri sana
Ubarikiwe
pamoja sana kiogozi na asante kwa lishe ya asubuh japo nilimisiii nondo zako...NUKUU YA LEO
I've always wanted to race cars, ever since I was a young boy, as I think a lot of guys have.
Kila mara huwa nataka niendeshe magari, hii ni toka nikiwa mdogo, kama ninavyofikiri kwamba kila kijana anataka
Haya maneno yalipatwa kusemwa na Muigizaji wa kimarekani Paul William Walker.
Paul Walker alizaliwa Tar. 12/09/1973 jijini California nchini marekani.
Paul walker alifariki kwa ajali ya gari tar 30 /11/2013 akiwa na mshkaji wake Roger Rodas..
Gari yao ilikuwa inakimbia speed ya kawaida ya 72km/hr
Walker atakumbukwa kwa filamu zake nyingi moja ikiwa ni Fast and Furious.
![]()
![]()
Morning wakuu..
wakuu Nukuu za week hii zitakuwa simple..nashindwa kuweka nyama manake niko safarini..Muwe na siku njema
Zishaisha mkuupamoja sana kiogozi na asante kwa lishe ya asubuh japo nilimisiii nondo zako...
vipi lakini hangover zimeishaa?
apoo sawa chief in chargeZishaisha mkuu
PamojaNUKUU YA LEO
I've always wanted to race cars, ever since I was a young boy, as I think a lot of guys have.
Kila mara huwa nataka niendeshe magari, hii ni toka nikiwa mdogo, kama ninavyofikiri kwamba kila kijana anataka
Haya maneno yalipatwa kusemwa na Muigizaji wa kimarekani Paul William Walker.
Paul Walker alizaliwa Tar. 12/09/1973 jijini California nchini marekani.
Paul walker alifariki kwa ajali ya gari tar 30 /11/2013 akiwa na mshkaji wake Roger Rodas..
Gari yao ilikuwa inakimbia speed ya kawaida ya 72km/hr
Walker atakumbukwa kwa filamu zake nyingi moja ikiwa ni Fast and Furious.
![]()
![]()
Morning wakuu..
wakuu Nukuu za week hii zitakuwa simple..nashindwa kuweka nyama manake niko safarini..Muwe na siku njema

Tungo tata... Ha ha ha ha ha.Ulifanikiwa kufika kileleni?
Ha ha ha ha ha..... Tunaondoa stress.Kapuku forum
All the time God is good