Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO

I've always wanted to race cars, ever since I was a young boy, as I think a lot of guys have.

Kila mara huwa nataka niendeshe magari, hii ni toka nikiwa mdogo, kama ninavyofikiri kwamba kila kijana anataka



Haya maneno yalipatwa kusemwa na Muigizaji wa kimarekani Paul William Walker.

Paul Walker alizaliwa Tar. 12/09/1973 jijini California nchini marekani.


Paul walker alifariki kwa ajali ya gari tar 30 /11/2013 akiwa na mshkaji wake Roger Rodas..

Gari yao ilikuwa inakimbia speed ya kawaida ya 72km/hr

Walker atakumbukwa kwa filamu zake nyingi moja ikiwa ni Fast and Furious.
b9a6dd90a2828540f61a5218ada74af3.jpg
85680865dd8d009bdb363c82164b7c0b.jpg


Morning wakuu..

wakuu Nukuu za week hii zitakuwa simple..nashindwa kuweka nyama manake niko safarini..Muwe na siku njema
pamoja sana kiogozi na asante kwa lishe ya asubuh japo nilimisiii nondo zako...

vipi lakini hangover zimeishaa?
 
1925 - Ali Hassan Mwinyi anazaliwa.

Ni Rais wa awamu ya pili ya Tanzania.

Pia amewahi kuwa Rais wa awamu ya tatu ya Zanzibar baada ya kujiuzulu kwa Rais Aboud Jumbe.

Maarufu kama Mzee Ruksa. Ndio Rais pekee wa Zanzibar ambaye si mzaliwa wa Zanzibar kuiongoza nchi hiyo.

Mwinyi ni mzaliwa wa Kisarawe mkoani Pwani.
 
NUKUU YA LEO

I've always wanted to race cars, ever since I was a young boy, as I think a lot of guys have.

Kila mara huwa nataka niendeshe magari, hii ni toka nikiwa mdogo, kama ninavyofikiri kwamba kila kijana anataka



Haya maneno yalipatwa kusemwa na Muigizaji wa kimarekani Paul William Walker.

Paul Walker alizaliwa Tar. 12/09/1973 jijini California nchini marekani.


Paul walker alifariki kwa ajali ya gari tar 30 /11/2013 akiwa na mshkaji wake Roger Rodas..

Gari yao ilikuwa inakimbia speed ya kawaida ya 72km/hr

Walker atakumbukwa kwa filamu zake nyingi moja ikiwa ni Fast and Furious.
b9a6dd90a2828540f61a5218ada74af3.jpg
85680865dd8d009bdb363c82164b7c0b.jpg


Morning wakuu..

wakuu Nukuu za week hii zitakuwa simple..nashindwa kuweka nyama manake niko safarini..Muwe na siku njema
Pamoja
 
1884 - Harry S. Truman anazaliwa.

Alikuwa Rais wa 33 wa Marekani.

Ndiye Rais aliyeidhinisha kudondosha bomu la Nyuklia huko katika miji ya Nagasaki na Hiroshima.

Hiyo ni siku chache mara baada ya kukabidhiwa Urais kufuatia kifo cha Rais Roosevelt.

Rais Harry S. Truman, ni moja kati ya marais wenye vituko vya aina yake kwani ile initial S iliyopo katika jina lake haina maana yoyote ipo kama swaga tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom