Makapuku Forum

Makapuku Forum

f0e178b8ab3ac64ff45c6a087c069c30.jpg
0d057effec07ed07823828a146dac28e.jpg

Duh ina miaka 100 na usher
.......
Halafu bongo movie wanataka kuja kushindana na kazi zao
 
521c11c72db569b45d02b75499c5f392.jpg
f3e9cb7317c351941943694e1051b43f.jpg
ded34ff415afb4c6af7d89ee0562f904.jpg
Nakutakia maisha marefu Mzee Mwingi
Mmoja kati ya viongozi wachache barani Afrika wasiojikweza..pia siyo mwobgeaji sana

Ndo Rais pekee ambaye ana mke zaidi ya mmoja hivyo wakati wa utawala wake nilikuwa na maFirst Lady wawili
Pia nasikia alikuwa hasaini kabisa adhabu ya kifo

Ndiye baba wa Hussein Mwinyi aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na JKT
...........
Hussein Mwinyi bado ni Waziri wa Ulinzi.

Inasemekana anaandaliwa kwa Urais wa Zanzibar.
 
1978 - Lucio anazaliwa.

Beki wa zamani wa Bayern Munich, Inter Milan, Juventus na timu ya taifa ya Brazil.

Mshindi wa Kombe la Duni mwaka 2002, na Klabu bingwa ulaya mwaka 2010 akiwa na Inter Milan ya Jose Mourinho.
b3c6e37ae43b4c48c22c37138e425ccf.jpg
f689f547356f3557e876c5e907073b54.jpg
2e67d098eb704b6bc51097d690c6ef39.jpg

Ile Inter ilikuwa kiboko mbele alisimama binamu Eto'o na muargentina fulani hivi alikuwa hatari kwa kutupia magoli muhimu
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom