Makapuku Forum

Makapuku Forum

Makapuku. Kumekucha wapendwa. Tumshukuru Mungu kwa kutuamsha salama. Nawaombea siku njema na yenye mibaraka tele; pamoja na ulinzi mzito wa mwenyezi Mungu. Twendeni tukapambane, na kama kawaida yetu makapuku: HAKUNA KUKATA TAMAA !!!
688a19e6bbf5d86f9d4d6b725f8ef32b.jpg
Amen
 
NUKUU YA LEO

I've always wanted to race cars, ever since I was a young boy, as I think a lot of guys have.

Kila mara huwa nataka niendeshe magari, hii ni toka nikiwa mdogo, kama ninavyofikiri kwamba kila kijana anataka



Haya maneno yalipatwa kusemwa na Muigizaji wa kimarekani Paul William Walker.

Paul Walker alizaliwa Tar. 12/09/1973 jijini California nchini marekani.


Paul walker alifariki kwa ajali ya gari tar 30 /11/2013 akiwa na mshkaji wake Roger Rodas..

Gari yao ilikuwa inakimbia speed ya kawaida ya 72km/hr

Walker atakumbukwa kwa filamu zake nyingi moja ikiwa ni Fast and Furious.
b9a6dd90a2828540f61a5218ada74af3.jpg
85680865dd8d009bdb363c82164b7c0b.jpg


Morning wakuu..

wakuu Nukuu za week hii zitakuwa simple..nashindwa kuweka nyama manake niko safarini..Muwe na siku njema
 
NUKUU YA LEO

I've always wanted to race cars, ever since I was a young boy, as I think a lot of guys have.

Kila mara huwa nataka niendeshe magari, hii ni toka nikiwa mdogo, kama ninavyofikiri kwamba kila kijana anataka



Haya maneno yalipatwa kusemwa na Muigizaji wa kimarekani Paul William Walker.

Paul Walker alizaliwa Tar. 12/09/1973 jijini California nchini marekani.


Paul walker alifariki kwa ajali ya gari tar 30 /11/2013 akiwa na mshkaji wake Roger Rodas..

Gari yao ilikuwa inakimbia speed ya kawaida ya 72km/hr

Walker atakumbukwa kwa filamu zake nyingi moja ikiwa ni Fast and Furious.
b9a6dd90a2828540f61a5218ada74af3.jpg
85680865dd8d009bdb363c82164b7c0b.jpg


Morning wakuu..

wakuu Nukuu za week hii zitakuwa simple..nashindwa kuweka nyama manake niko safarini..Muwe na siku njema
Mungu akutangulie katika safari yako mkuu ufike na urudi salama. Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom