Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
kwahiyo week nzima upo njiani tu Mungu akusaidie ufike salamaNUKUU YA LEO
I've always wanted to race cars, ever since I was a young boy, as I think a lot of guys have.
Kila mara huwa nataka niendeshe magari, hii ni toka nikiwa mdogo, kama ninavyofikiri kwamba kila kijana anataka
Haya maneno yalipatwa kusemwa na Muigizaji wa kimarekani Paul William Walker.
Paul Walker alizaliwa Tar. 12/09/1973 jijini California nchini marekani.
Paul walker alifariki kwa ajali ya gari tar 30 /11/2013 akiwa na mshkaji wake Roger Rodas..
Gari yao ilikuwa inakimbia speed ya kawaida ya 72km/hr
Walker atakumbukwa kwa filamu zake nyingi moja ikiwa ni Fast and Furious.
![]()
![]()
Morning wakuu..
wakuu Nukuu za week hii zitakuwa simple..nashindwa kuweka nyama manake niko safarini..Muwe na siku njema
happy birthday mzee wa ruksa1925 - Ali Hassan Mwinyi anazaliwa.
Ni Rais wa awamu ya pili ya Tanzania.
Pia amewahi kuwa Rais wa awamu ya tatu ya Zanzibar baada ya kujiuzulu kwa Rais Aboud Jumbe.
Maarufu kama Mzee Ruksa. Ndio Rais pekee wa Zanzibar ambaye si mzaliwa wa Zanzibar kuiongoza nchi hiyo.
Mwinyi ni mzaliwa wa Kisarawe mkoani Pwani.
Yes... mkuu..kwahiyo week nzima upo njiani tu Mungu akusaidie ufike salama
Asante Mussolin kwa historiaLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
SitakiiiiWacha wee....nipe tano mkuu![]()
team zangu zinajulikana![]()
![]()
![]()
ukiona hivyo ujue hana timu maalum inayoshinda ndio yake
watu na wapenzi waoMambo mpenzi wangu..
Hivi ujue haujanielewa kwa husna nilimaanisha kuhusu ww mtu atokee akuandieuliyoyasema kwa thread ya husna ata sekunde haijaisha hushaandikiwa
ila sawa
Hongera shuniiDadiii shikamoo umeamkaje lkn
Akuuu!!!watu na wapenzi wao
ulijua mm robot eenh![]()
![]()
HV kumbe na ww unajua kupenda
1966 - Claudio Taffarel anazaliwa.
Kipa wa zamani wa Brazil ambaye ameshinda kombe la dunia mara 1 mwaka 1994.
Pia alikuwepo langoni wakati Brazil ikifungwa fainali na Ufaransa mwaka 1998.
mm ni wa lee nitabaki kuwa wa lee mtajijua na muosha rungu wenuHongera shunii
Muosha rungu anakupenda anataka umuoshee rungu.
Hii weather tulitakiwa tuwe tumepumzika.... Lakini mambo hayatururusu.Usinyambue maneno muda huu maana weather yenyewe tu Ni shida
All the time God is good
Mi mzima tuWazina nyie...
Poa tu, ulimo baba ndegureMambo mpenzi wangu..
Rare quality Shunie.... Be steadfast.mm ni wa lee nitabaki kuwa wa lee mtajijua na muosha rungu wenu
Huyo mchuchu wao yuko wp?!Ameen Baba mchuchu