Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mei 7 mwaka 588 Kanisa la AyaSofya liliporomoka

Mei 7 mwaka 588 kanisa la AyaSofia liliporomoka. Ajali hiyo ya kuporomoka kwa paa la kanisa hilo ilikuwa ajali ya kwanza katika historia ya jengo hilo.

Katika historia ya jengo hilo baada ya kuporomoka kwakwe mfalme Justina katika Utawala wa dola ya Byzans alianzisha haraka kazi za ukarabati wa engo hilo.

Historia inafahamisha kuwa paa za jengo hilo ziliwahi kuporomoka pia katika kipindi cha utawala wa wabyzans.

Jengo hilo ambalo ni matunda ya muhandisi Sinan baada ya ukatabati halikuweza kuporomoka kwa mara nyingine katika historia yake.

Jengo la makumbusho la Aya Sofya limefunguliwa kwa raia lilijengwa mwaka 537 na mfalme Justinian.
 
Mei 7 mwaka 1945 wanazi walijisalimisha Ujerumani

Jenerali Alfred Jold wa Ujerumani alisaini mkataba na jeshi la wanazi ambao walisalim amri na kujisalimisha katika vita vya pili vya dunia.

Mkataba huo ulipelekea wanazi kujiondo katika vita hivyo.

Vita vya pili vya dunia ambavyo vilipelekea kiongozi wa Ujerumani Adolph Hitler kujiua baada ya jeshi la kisoviet kuvamia na kuteka mji wa Berlin.

Watu zaidi ya 150 000 walipoteza maisha katika vita hivyo na baadae vita hivyo kumalizika barani Ulaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom