Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mwaka 2008 Dr Mwakyembe na Kamati yake ya Richmond wanasoma taarifa ya kamati juu ya kashfa ya Richmond na baadae anakiri kuwa hawakuisoma yote
 
2010 mgombea urais kwa tiket ya SISIEM anaanguka Jukwaani kwa uchovu,
2015 mgombea urais kwa yiket ya CCM anapiga Pushap za kutosha Jukwaani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom