Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Awam ya 3 wakat iddi Simba akiwa Waziri wa Viwanda na Biashara anaamua kujiuzuru Uwaziri kwa kashfa ya SUKARI
.......
Awam ya 3 wakat iddi Simba akiwa Waziri wa Viwanda na Biashara anaamua kujiuzuru Uwaziri kwa kashfa ya SUKARI
United foreverKarata yako mkuu kwa man u vs arsenal
Naona Leo mmekiwasha na mondrayunachokitafuta utakipata mondray
Karibu mkuu1st time to visit Makapuku Forum.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
All of you!!
Kila la kheri team zanguEngland EPL
![]()
Tanzania VPL
![]()
Simba mnyama vs Simba wa Afrika
Karibu kapuku mgeni1st time to visit Makapuku Forum.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
All of you!!
team yangu inajulikanaNdio uweke bayana wewe ni shabiki wa timu ipi hapo,ili usije kuyakataa matokeo hapo baadae
MmhAnyone on my way..!
Unajua nitakupa jibu unalotaka eeh?kilele kipi
Kila la kheri African Lyon na LiverKila la kheri team zangu
Namaainisha mahali/source ambapo historia za nyumbani linapatikana yaani ili mtu awe anatujuza kila sikuNani anahitaji source?Juu ya nini?
hawezi left amepumzikaLee kaleft
Pambana kutetea imani yako usije kujikuta unashindwa kutetea imani yakoKabisa kuna watu wanataka waniondolee ulokole wangu
Wanasema watafiti kuwa haijawahi kuthibishwa kuwa mtumiaji wa bangi kuwa na cancer,![]()
![]()
![]()
Kiukweli nimi sio mvutaji ila nawakubali sana Snoop na Bob Marley
......
Mzima kaka akee za wwDada mzima
Mwaka 2008 Edward Lowassa anaachia ngazi kwa kashfa ya kandaras ya Kufua umeme ya RichmondNafikiri alitimuliwa maana Waswahili hawajiuzulu kizembezembe![]()
.......
hapana shemela nimeshindwa mm sio kwa pages hizoWewe kata mbuga hivyo hivyo
Rest in peace VIMwaka 2010 SISIEM wanaweka vigezo kwa makada wake wanaoutaka Uspika kuwa ni lazima awe na MA T T.
Mzee VI anakosa vigezo
NdiooooooNdo umeamua kusemelea?