Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
MmhBangi ni nzuri kuliko sigara
Sawa ila anakupa changamoto kuwa makinini yeye sio mm
AsituchurieAshindwe nini sasa
Never missZa huko Leo mvua haipo?
Sawa tuendelee tulipohapana nimeshindwa mm
Nakwambia ni shida. Ndiyo maana watu wengine huko majukwaa mengine hawaishi kulalamika...Yaani ukichelewa dakika mbili unakuta peg zimesonga
Sawa mkuuBitoz atakaleta
Na mimi nilijua tu, ndio maana nikawa mvumilivu tunilikua nakusumbua tu maksudi
Aaah dada umewaza umefika hukohapana kaka kila la kheri kwenye harakati zako
Na mimi nilijua tu, ndio maana nikawa mvumilivu tu



nangojea majibu ya lee nimeuliza huko nyumahahahaha Tupo kwenye kuhakiki makoloniihivi mnazungumzia koloni gani

Situmii, ila nimeifuatilia sanaMmh
Unatumia?
hapana kaka wala sijafika huko nipo hapa hapaAaah dada umewaza umefika huko
Wanalalamika sanaNakwambia ni shida. Ndiyo maana watu wengine huko majukwaa mengine hawaishi kulalamika...
Hivi kinyerezi ndio kibaha shemelaNever miss
hahaha sisi tuna chetihahahaha Tupo kwenye kuhakiki makolonii
maana nimepata Taarifa kuna makoloni fekii![]()
![]()
![]()
Kwanini unaona man u atakula nyingiman u naipenda lakini kwa leo naona kama atakula nyingi kidogo!
Hapanaaaa siwezi tumia ata kusagia na maji acha vingine tuwe watazamaji sio kila kitu ujaribuSitumii, ila nimeifuatilia sana
Lakini hata wewe unaweza kuitumia, sio lazima uivute, unaweza kuisaga na kuichanganya na chai