Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
I am feeling my fist with anger..Unapasha pasha?
I am feeling my fist with anger..Unapasha pasha?
SanaSikufahamu hilo
Kumbe zinashabikiwa huko
.......
Wanamsumbua NikeWazungu huwa wanapenda kufanya vitu vya tofauti sana. Sasa jiulize akina Mangi wapo hapohapo Moshi lakini hawajawahi kufika hata geti la mlima kilimanjaro kama lile la Marangu.
Yawezekana piaAu kwa kuwa startime wanadhamini, ndio wanakuwa na haki ya kuonesha wao tu
Hahaha Calm down bossI am feeling my fist with anger..
Umaskini ni tatizoOdonyolengai una vitu vingi vya utalii, lakini hatuna time nao
Tuko bize na mambo mengineOdonyolengai una vitu vingi vya utalii, lakini hatuna time nao
Labda hazilipi.Aisee, kuwa na decoder nyingi nayo ni kalaha sana,
Sijajua tu kwa nini DSTV waliacha kurusha hizo ligi
DSTV wanyonyajiAisee, kuwa na decoder nyingi nayo ni kalaha sana,
Sijajua tu kwa nini DSTV waliacha kurusha hizo ligi
Hahaha, kuna kipindi nilikupangia mabeki 7 kwenye first 11 bado nikakufunga.Poa, ili nikikupiga useme ulipanga B![]()
![]()
![]()
![]()
Better to fight for something than live foe nothingHahaha Calm down boss
Unanikumbusha 2012 nilipopanda kilimanjaro for the first time..Umaskini ni tatizo
Tunafikiria zaidi kutafuta pesa ya kula
Utapandaje Mlima Kilimanjaro wakati hujashiba?
......