Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
Ile ndio alama yao. Kama ambavyo nike ike tiki ndo alama yao.Wanamsumbua Nike
Mzee wa![]()
Adidas wanachonikera ni mistari yao tu ile mi3
![]()
![]()
![]()
.........
Sema msimi huu wameharibu kuweka ile mistari mitatu kwenye usawa wa mbavu badala ya juu ya mabega.
Puma inapendwa sana na timu za Afrika.
Puma na Adidas ni kampuni za mtu na kaka yake.
ADIDAS - All Days I Dream About Sports. Kirefu kisicho rasmi.
