Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,243
Shida zote za nini?La kufa kiumbe..! Lazima uwe na jacket kama 3 na shweta ndani..
Afu pia uwe na Raincoat moja na tracks kwa ajili ya mvua na snowfalls
Sleepingbag ya kulalia ni lazima