Makapuku Forum

Makapuku Forum

DSTV sio mpira tu, mfano wewe bitoz ni mwanasheria, ukiiangalia chanel kama CRIME na ID, pamoja na mambo ya historia kupitia HISTORY, utajifunza vitu vingi sana tofauti kabisa na ulivyofundishwa chuo
Ila EPL ndo inawabeba
Kumbuka hao wote watakutanishwa na soka la EPL kubishana

........
 
wakuu salaam

ni matumaini mu wazima kabisa ...kiukweli naimis sana familiaa hii ila sitasita kuja kusalimia pidi nipatapo ka time kama leo ..
heshima kwa kapuku wote nikitaja wengine ntawasahau ila nyote wageni na wenyeji love ya kutosha
shunie mama kipenzi nakumis sana na unajua vile namis ukivuruge wako ila sala zakp zinafika haswa
bhinamu obe simu ya tachi nimeikumbuka na ile uliyoniagiza nimeileta

mkuu Mondray heshima kwako
balozi bitoz
shimba ntapata ripoti
mama mchungaji nakumis
mkuu mr T and sakayo
baba paroko
nyagei
mndali
shemela le mushenga papaa
mkuu dikteta
shululu
mzee mkavu sijui walikuteka
snipes
na wengine wote nawamis
miss u kiboko yangu mpk nakufwa baby ushajifunza hayo maandishi ya marangi mm sipendi yananiumiza macho au sijui ndio ushamba wangu

bora umerudi jana usiku walikua wanakuua kwa maneno shemela shululu na tetra
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom