shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Kilimanjaro siwezi kupanda kwa sababu za kiafya, isingekuwa hivyo ningeshapanda sanaMwache sasa Shululu aende na njaa kama atafika kwenye kilele
Halafu baridi lake hatari...watu wanafia huko
.......
baby ushajifunza hayo maandishi ya marangi
mm sipendi yananiumiza macho au sijui ndio ushamba wangu 