Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG-20170507-WA0008.jpg
 
Matokeo ya mechi zilizochezwa tarehe 6 yanaletwa kwa udhamini wa Obe (Jorowe) na shululu

ya tareh 5

japo sikuwepo ijmaaa ila taarifa zimetufikia...usiku nimepata kureview hii kitu spurs anatandikwa na wagonga nyundooo...makofii kwaoo

Mack Noble, Kouyate na Lanzini ni kama walikuwa wamepokea fedha kutoka Chelsea vile, waliwaweka chini ya ulinzi Wanyama, dier na Dembele. Ukishazima taa za hawa jamaa wa katikati ya uwanja basi na zile taa nyingine zinajizima zenyewe...... Wakaziua njia za mipira inayokwenda kwa Delle Alli moja kwa moja, wakazima mipango ya Spurs kuanzia kwa ventoghen mpaka kwa Walker. Hakukua na zile movement za hatari ztulizozizoea kutoka kwa Son, Kane na Delle wakati mpira ukiwa miguuni mwa Ericksen.

Nyundo moja tu Wanyama chali..... Huyu jamaa huwa ni mbishi sana ila Mack Noble ni mbishi zaidi kwa siku ya jana.

Lawama lawama..... Mpira usivyo na adabu ukakushangaza tena jumatatu......ila mzee wangu namuaminiaa Antonio japo tunaweza kushangaa kweli
 
wakuu salaam

ni matumaini mu wazima kabisa ...kiukweli naimis sana familiaa hii ila sitasita kuja kusalimia pidi nipatapo ka time kama leo ..
heshima kwa kapuku wote nikitaja wengine ntawasahau ila nyote wageni na wenyeji love ya kutosha
shunie mama kipenzi nakumis sana na unajua vile namis ukivuruge wako ila sala zakp zinafika haswa
bhinamu obe simu ya tachi nimeikumbuka na ile uliyoniagiza nimeileta

mkuu Mondray heshima kwako
balozi bitoz
shimba ntapata ripoti
mama mchungaji nakumis
mkuu mr T and sakayo
baba paroko
nyagei
mndali
shemela le mushenga papaa
mkuu dikteta
shululu
mzee mkavu sijui walikuteka
snipes
na wengine wote nawamis
japo sipo kwenye Iist ila tumekumiaa pia na shukran kwa kutuachia hata yale makoloni yako soon tutatangaza utawala mpya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom